Naanza kuhisi harufu fulani ITV

Naanza kuhisi harufu fulani ITV

Watu wa Mara ni watu wanaojitambua sana nao wameonyesha kumkubali sana nfugu Lowassa,hii ni dalili njema kwake na mimi nipo Mara hakuna aliepewa hata shilingi,kama ambavyo hudaiwa na na maadui zake.
 
Ni IPP kwa ujumla. Huoni hata gazeti la Nipashe? Mengi ndio kaanza kisasi kwa JK kupitia Lowassa. Hako kazee kanafiki kanafikiri Edo atakasamehe maovu ya miaka ilee kwake akipata urais ambao Masikini haupati.
 
Hapana ITV inatenda haki kwa wote ni tv station bora kwasasa hapa Tanzania
 
Mengi ameshajua rais ajae ni Lowasa,ameanza kujipendekeza
 
Haven't you heard of the golden rule , Have you?. Whoever have the gold, makes the Rule!!!
 
Badilisha hilo jina kwanza ndo ulete mada hapa.. As so long we n gamba huna maana nyie ni walewale wenye akili ya ki-TBC, TBC - Kila wakati kuonesha habari za Chama cha Kijani kana kwamba watanzania wote mmewanunua mkisahau hicho ni kituo xha taifa hamtakiwi kuwa na upande... SHAME ON YOU ALL..
 
Mtoa mada acha kuweweseka, huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono...
 
Habari za LOWASSA zina mvuto,na zinafunika habari nyingine.

Najua iliyokuumiza sana ni hii ya leo iliyoonyesha wananchi wa MARA, walivyokuwa na hamasa na LOWASSA, vumilia tu!

acha kulia lia hapa!

Jamaa wa ITV wako biased sana..Mkoa wa Mara Lowasa kakodi vijana kutoka Musoma mjini anazunguka nao mkoa mzima. Kuna eneo jamaa kazomewa mwanzo mwisho huku vijana wakionesha alama ya vidole viwili mbona hawajaonesha?
 
Unatafuta wafuasi wa kurudi nao TBC we nenda tu hatudanganyiki
 
Jamaa wa ITV wako biased sana..Mkoa wa Mara Lowasa kakodi vijana kutoka Musoma mjini anazunguka nao mkoa mzima. Kuna eneo jamaa kazomewa mwanzo mwisho huku vijana wakionesha alama ya vidole viwili mbona hawajaonesha?

Mkuu uongo mbaya sana, tuletee ushahidi wa hao wazomeaji basi.
ITV na Channel 10 wote wamonesha hiyo issue ya Lowasa sasa wewe kwanini waleta uongo hapa?
Unadanganya kwa faida ya nani?
 
Homa ya Lowassa ni kali sana...yeyote itakayempata husema "hovyohovyoo"
 
Back
Top Bottom