Gumilapua
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 833
- 565
Ashura vp upo?Makimfunga city mimi ni ashura
Ashura vp upo?Makimfunga city mimi ni ashura
Makimfunga city mimi ni ashura
Soccer halina mbabe wa kudumuMakimfunga city mimi ni ashura
Ashura, leo bei gani shoti taimu aka short timeMakimfunga city mimi ni ashura
Ashura mnyonya dushe sio?Makimfunga city mimi ni ashura
Hongera mkuu kwa utabiriLabda ni instinct au over confidence, lakini nina imani Manchester United anaenda kushinda mchezo huu.
Team spirit iko juu, team form ipo juu, tactically wameanza ku-improve.
Niko tayari kurushiwa matope hapa wakipoteza, lakini united anaenda kushinda.
Poleni sanaEndeleeni kujipa matumaini sisi kama the cityzens tunawapiga palepale ot bila shida yeyote
Ashura vip nije wapi Leo ..???Makimfunga city mimi ni ashura
Utabiri wa kuweka hela mbona utajua hujuiUwe unashusha utabiri hapa wa mechi, itasaidia wazee wa mikeka
Ashura njoo hapa gheto kuna zawadi yakoMakimfunga city mimi ni ashura
Sawa Bi AshuraMakimfunga city mimi ni ashura
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂Muwe mnaweka AKIBA ya Maneno.