Bob Fern
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 900
- 132
hasara kwake au waandaji? maana dau lake liko pale pale hata kama wangeingia watu wawili
Pamoja na hayo.Status inapotea
hasara kwake au waandaji? maana dau lake liko pale pale hata kama wangeingia watu wawili
Pamoja na hayo.Status inapotea
Hebu jaribu kuni PM picha yako nikuone urefu kwanza Mumy...:glasses-nerdy:
Rushia choice ya rangi basi...!wacha weeeee......
wewe usijali urefu....hiyo size inainclude kila kitu........
Inawezekana picha imepigwa saa 1930.
Mie si fan, so I can claim objectivity.
Hapa bila kujua picha imepigwa saa ngapi hakuna cha muhimu, labda sanasana Preta atapata kanyela mumo lake.
Inawezekana picha imepigwa mapema wakati wa mic check.
On the other hand mganga ws Diamond alishapiga beat.
Preta nimeona bora nimpatie ile picha yako ulinitumia..Hebu jaribu kuni PM picha yako nikuone urefu kwanza Mumy...:glasses-nerdy:
Mkuu mi huwa naingia vila park pale mwanza hasa siku za alhaimis ambayo ni siku za taarabu, kwaanzia saa nne mpaka saa 7 ivi usiku, ukipiga picha, haitakua tofauti na na iyo ya diamond. Kuanzia saa tisa ivi panafurika balaa, kwani watu wanatoka disco mbalimbali mfano pale The kiss club opposite yake ambayo mara nyingi saa 6 tu watu hawapo.
Mi siamini ishu ya uchawi apo, la msingi ni kujua picha ilipigwa saa ngapi.
Uuuuh......hii kiboko.....ila kuna yule dada pale kapiga kitu cha kanyela mumo cha red.......nimekipenda......