Wewe mtu anavuta mkwanja wewe payuka.Huyo allitwa A town kujawaburudisha wadau wa NSSF A town.Mkwanja mreeefu kavuta huyo dogo.Kwanza kapandishwa Pipa la precission kutoka dar mpaka A town
![]()
BELIEVE IT OR NOT ..HII NDO CROWD ILIYOKUWEPO KWENYE SHOW YA DIAMOND JIJINI MWANZA-TANZANIA SIKU YA JANA TAREHE 14-2-2013 . Intresting!.......Ukumbi unaitwa Gold-Crest.......Photo Credit FORTUNATUS MKARE
Kupanda ndege sifa?!
.Kwanza kapandishwa Pipa la precission kutoka dar mpaka A town
Bob Fern muulize tena huyo Mchizi wa ukweli. FastJet siku hizi hata wale wanaoishi kwa kutegemea 'boom' wanapanda.
Mumy hicho kitu cha RED ndio trend kwa sasa hapa town?Uuuuh......hii kiboko.....ila kuna yule dada pale kapiga kitu cha kanyela mumo cha red.......nimekipenda......
C.T.U Hawezi kufulia bado ana tender za kwenye uchaguzi wa Magamba. Mwanza wanachadema wapo wengi aje apige Mtwara kama hatajaza watu au subiri chaguzi zije
mbona magamba yameshavuliwa kabisa kwenye uchaguzi wa kamati kuu.sasa kazi imebaki moja tuu kuvua mgwandaC.T.U Hawezi kufulia bado ana tender za kwenye uchaguzi wa Magamba. Mwanza wanachadema wapo wengi aje apige Mtwara kama hatajaza watu au subiri chaguzi zije
Mumy hicho kitu cha RED ndio trend kwa sasa hapa town?
Hebu jaribu kuni PM picha yako nikuone urefu kwanza Mumy...:glasses-nerdy:nakipataje.....? size 22 plz.......