Naam, Makonda tena anachallenge status Quo!

Tangu 2011...

Cha muhimu ni kuelewa kuwa Tanzania kuna project nyingi nzuri ambazo huanza na kufifia taratibu na kwisha kufa kabisa kabla hazijakamilika. Sababu moja kuu ni kutokua na ufuatiliaji makini na pia kukosekana kwa viongozi wenye uchungu wa nchi a.k.a, "uzalendo". Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa kama ameamua kulivalia njuga suala hili basi inshallah litafanikiwa.
 
Najaribu kupanda daladala kila siku huenda nikabahatisha kumuona japo mwalimu mmoja tu akitoa kitambulisho lakini daah wamekua adimu kama kiuno cha nyoka, nauli bure kwa walimu vepeeeee!! Au kamgomo baridi nn
hivi bado hipo hiyo programu
Hiyo project ni ya TCRA mambo ya Postcode, ni ya siku nyingi sana, labda useme anawasaidia kukimbiza hilo zoezi, ila sio idea yake na zoezi la nchi nzima, mimi mara ya kwanza nilipata seminar ya hayo mambo Arusha mwaka 2011 akitoa Bw Innocent Mungi wa TCRA.
anajaribu kumfunika meya wa jiji,kwa hio wako tayari kushika silaha yeyote ili kumfunika
 
Nyumba za Daresalam haziko kimpangilio hilo swala haiwezekani kabisa.

swissme
Wenzetu wanatumia GPS kujua mitaa na nyumba. Kwenye Google ninaona ni baadhi ya maeneo ya Dar ambayo unaweza kuyaona kwenye GPS mengine ni balaa je mtu wa posta atafikaje wakati wenyeji hawajui majina ya vitalu na no. za nyumba wanazokaa? Elimu kwanza ndo hilo la Makonda lifuate.
 
Nyumbu wamechanganyikiwa na hawajui washike kitu gani! Nawashangaa badala ya kum "promote" Katibu Mkuu wao Mpya, wamekaa kimya wanajiziuka na matukio. Hawajui hii project ya Postal code ipo hapa Tanzania.
hakuna kipengele cha wanachadema kumpromote katibu mkuu katika job description yake!majukumu yake anayafanya kulingana na katiba ya chama!sasa kama kumpigia vuvu zela ndio job description ya yenu ya kwake ili muitimize,basi endeleeni.
Nyie jamaa mnatakiwa muanze kumpromote katibu wenu, mbona jhiiiiiiiii sana?
sasa,kama yuko kimya,si ndio furaha yenu?
 
Sijui lakini sidhan kama sanduku la barua kuwa home au karibu na home ni issue kubwa sana. Binafsi nina miaka ming sana sijatumia barua. Dunia hii ya sasa imeshatuzoesha vibaya na email add. Sasa sijui kama hili nalo ni jambo kubwa. Angesema kila nyumba au hatua kumi maji hilo ningempongeza sana baada ya kuona limetendeka. Barua si issue sana dunia ya sasa. Si llazma sana.
 
hakuna kipengele cha wanachadema kumpromote katibu mkuu katika job description yake!majukumu yake anayafanya kulingana na katiba ya chama!sasa kama kumpigia vuvu zela ndio job description ya yenu ya kwake ili muitimize,basi endeleeni.

sasa,kama yuko kimya,si ndio furaha yenu?

Ishu ni Mbowe bado hajawaambia, si unajua jamaa ndo kawaweka kiganjani kwake? Akisema tu haya nendeni mkapige kelele kumpromote katibu, nyumbu hao!
Furaha yangu ni chadema hii ya Mbowe ipukutike kabisa, ndio furaha yangu! Hawa wapiga dili na wasio na misimamo wanaogeuza raia kitega uchumi kama mzee wa kubadili gia sitaki kabisa kuwasikia. Yeye na genge lake, hivyo hata katibu apotee tu.
 
Hivi huwa huna kazi ya kufanya masaa yote nikuandika utumbo wako humu si uende kambini ili server za jf zipumue
Nadhani hata wewe ni sawa na wewe kama umepata muda wa kusoma message zake zote unao pia muda na huna kazi ya kufanya.
 
Ulishawahi niona muda wote naandika uharo kama wako humu siku moja post zaidi ya 20 huo ni ushamba.

Sio ushamba tu mkuu bali huyo ni mwajiriwa wa Lumumba na analipwa buku saba per post humu JF! Kwa post zake 20 kwa siku ni kwamba anajifisadia Ths 140,000/= kwa siku!!! Huo ufisadi wake kwa siku zidisha mara 30 (yaani mwezi 1) ni sawa Ths 4,200000/= . Hicho ndio kifuta jasho chake kwa kuandika upuuzi hapa JF!!! halafu huyu hayuko pekee ana wenzake 45 zaidi ( Ref hotuba ya JK) . Sasa fanya mahesabu hapo 46 x4,200000/= utapata ni Tsh 193,200000/= kwa mwezi mmoja !!! easy money just kuandika upuuzi tu humu JF!!! Hizo ni fedha zetu walipa kodi! Yaani bongo wee acha tu UFISADI hadi humu humu kwenye jukwaa la siasa! Hebu nieleze kama Mafisadi tunao humu humu JF basi watashindwa kuwepo huku serikalini kwengine?
 
Ukiamini kitu hakiwezekani, kweli utashindwa. Ila ukiamini inawezekana utafanikiwa.
sio kwa hili swala niko nimeisha tembea dunia na niko duniani.bongo huwezi kuwa na dream of that kind.labda upanga na masaki tu.

swissme
 
Wenzetu wanatumia GPS kujua mitaa na nyumba. Kwenye Google ninaona ni baadhi ya maeneo ya Dar ambayo unaweza kuyaona kwenye GPS mengine ni balaa je mtu wa posta atafikaje wakati wenyeji hawajui majina ya vitalu na no. za nyumba wanazokaa? Elimu kwanza ndo hilo la Makonda lifuate.
sijui ni nani mshauri wake my be le mutuz.

swissme
 
kwa hiyo matatizo ya watu wa dar ni masanduku ya posta??
Halafu huyu jamaa anawadanganya watu wasio jielewa tu kiufupi ni kwamba ili barua ziwe zinawafikia watu nyumbani badala ya kutumia sanduku LA barua inabidi serikali ianzishe mfumo wa area codes ambao unaitaji nyumba zote kusajiliwa kuyagawa maeneo ktk mfumo huo,ni suala linalohusu wizara inayohusika na mipango miji si la mkuu wa mkoa na jambo ilo sio geni nimepata kulisikia kipindi cha mama anna tibaijuka alipata kulizungimzia kwamba lilikuwa kwenye mchakato kabla hajangolewa na kashfa ya escrow
 
Baada ya kubadilisha mfumo wa PF3 sasa Mkuu wa Mkoa wa Dar amekuja na nyingine nayo ni kuhakikisha kila Mtaa wa Dar yetu unakuwa na majina rasmi pmj na namba za nyumba, amesema anawaagiza Wakuu wa Serikali za Mitaa wote kulifanyia kazi hilo swala ili Barua ziwe zinaltwa majumbani mwetu na Posta badala ya kwenda kufwata mwenyewe Kijitonyama au Posta!

Big Up Makonda only sky is the limit man!!!
Endelea kujiuliza maswali kuna mambo mengi sana tunafanya kwa mazoea tu lkn siyo ya lazima na tunaweza kuyabadilisha!

DSCF2294%2B-%2BCopy.jpg
Hiyo ya address ni initiative ya watu wa posta siyo ya makunda
 
Angesema dar ipigwe kiberiti alafu tuupange mji haaa!!
Ngempa big up ...
Ila kwa style ya majipu haha hatufiki
 
hiki kijamaa kila kukicha kinadandia dandia mambo ... lengo likiwa ni kutengeneza news.
 
Back
Top Bottom