Naam, Makonda tena anachallenge status Quo!

Usiwe mgumu kuelewa namna hiyo, siyo kazi ya Posta kutoa majina ya mitaa na namba za nyumba bali ni kazi ya Serikali za Mitaa pamoja na Jiji la Dar na ndiyo maana Posta wenyewe ndiyo waliomulika Mkuu wa Dar!
Hilo la majina ya mitaa anachofanya ni msisitizo tu manake limeanza karibu miaka 2 sasa!! Sisi ingawaje tunaishi Uswahilini lakini tayari tuna street names na namba za nyumba for almost 1 year now bila kusahau Post Codes.

Kuhusu Posta, wao wana nafasi yao ktk hili na Halmashauri pia wana nafasi yao. Wanaohusika na majina ni Halmashauri pamoja na serikali zao za mitaa to street level.
 
Muache adandie mambo akija kustuka mambo yoote aliopiga story juzi kwenye hotuba yake hajafanya hata moja! Anapanga mambo 100 kama ana bajeti vile! Anasema kutoka usingizini vitu alivyoota usiku! Jiji hili lina changamoto zake milioni moja! Apambane na shida za wananchi zile basic sio namba za nyumba! Bado tunasubiri sensa ya nyumba zote na wakazi wake ameagiza ifanyike sijui atawalipa nini hawa watendaji wasiolipwa mshahara wafanye kazi ya sensa ili awapatie kazi vijana wasio na ajira.....uliza yale maigizo yake ya msanii ajira yako yaliishia wapi?
 
Nyumba za Daresalam haziko kimpangilio hilo swala haiwezekani kabisa.

swissme
Mleta mada ame- exaggerate mambo! Zoezi la majina ya Mitaa Dar es salaam Makonda amelikuta na lina takribani miaka 2 sasa!! Sisi tunakaa Uswahilini lakini hilo zoezi limefanyika zaidi ya mwaka sasa with Post Code, Street Name na namba ya nyumba!!

Lakini kama ulivyosema, si kila kitongoji kitakuwa na majina ya mitaa wakati hata hiyo mitaa yenyewe haipo!! Maeneo mengi yatabaki tu kuwa na Post Codes lambazo zimetolewa kwa Kikata-- kwamba Kata mzima inakuwa na one post code.
 
Back
Top Bottom