Naachana na mke wangu rasmi

Naachana na mke wangu rasmi

sasa mk

uu kumtukana anaondoka kwao wiki moja sasa nikimpiga si ndo ataondoka mwezi hadi jeraha lipone
Huyo ni aina ya Punda bila Mijeredi haendi. Halafu inaonekana unamnyenyekea sana isivyostahili ashakuona we boya tu. Mwanamke akiwa juu siku zote atakutesa, tengeneza mazingira ya wewe kuwa juu kwa vyovyote ili heshima irudi.

Uhuru wake unaanzia pale mipaka yake inapoishia. Lasivyo huna mke
 
Anatakaaa au ndie Mwanaume humo wewe ni bolizozo fulani tu. Kupika upike, chumvi izidi akununie na wewe unamwangalia tu? Na kumzibua! Sina maana ya kuwa sababu umepika ndo uwe bolizozo, ila huna akili, ushatawaliwa mpuuzi mmoja wewe
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Muache aje kwangu apumzike siku 7 akitoka atakuja kukuhadithia..
 
Itakuwa kuna kitu, wala usimuache ikitokea akanuna mpuuze uone mwisho wake, na akienda kwa dada ake wala usimfate Maana anajua atafuatwa tu.
 
Umenikumbusha Shemeji yangu mkewe walikuwa wakigombana tu anasema mimi naondoka naenda kwetu... Mume a nachukua Ufyagio anafagia a namwambia haya pita uende njia nyeupe haina mchana.. Mwanamke inabidi arudi awe mpole.. Leo wana miaka zaidi ya 14 adabu na heshima imesimama... Acha kulea ujinga jitahidi uonyeshe nafasi yako km baba wa nyumba.. Mi naamini mpk umelileta huku umetaka ushauri mawazo ya wengi kayafanyie kazi
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Antikiburi ipo mkuu....mm saiv hata aje michelle obama hapa atatulia tu.....nishakuwa profesional wa hawa wadudu.
 
Nimeona sehemu eti ulipika viazi ukazidisha chumvi....kwani kazi ya mwanamme ni kupika? Acha ujinga wewe mwachie mwanamke majukumu take ndio mana anakuzalau
 
Unampenda sana mpk anajua kua kwake amekuweka kiganjani!

Yeye ndo kila kila kitu na wewe kila asemacho hua unafuatisha!
Onesha uanamme wako kaka!

Wanawake sometimes tunajisahau haswa tukiependwaa

Mpe suspension kwanza aende kwao kama miezi miwili hv uone asipojirudi huyoo kongowele!

Means kuna kidume kinampa jeuri!

Penye miti hakuna wajenzi looohh!!!
Umesema kweli Geniveros,huyo kuna mwanaume anamvua chupi,jamaa anatakiwa amfumue tigo yake mpaka marinda yasiwepo tena na baada ya kumfumua marinda amfukuze bila huruma,yaani amwambie sikutaki unanuka mavi.
 
Umesema ana hofu na Mungu?Unajua haya maneno huwa yana nitatiza sana kama mtu ana hofu kweli angefanya yote hayo anayofanya?Au mie hiyo hofu unayoingelea siielewi?
Yaani sijui nisemeje?,Honey Faith,hivi unajua unanipagawisha?,hiyo miguu au mapaja ndio ugonjwa wangu mie,nitakuenzi na kukufariji kwa huba,tunu na mahaba kama utani PM tafadhali fanya hivyo upoze roho yako au vipi?
 
Dada yake naye wale wale kopo na sufuria na yote yametoboka, wengine dada zetu ukienda na mabegi mnarudi naye apate tatizo nini, wewe akiondoka usimfuate uchune cku akirudi mwambie iwe mwanzo na mwisho laa akiondoka tena kila kilicho chake achukue, au mkeo anamchepuko kuwa makini sio bure wanawake wengine kama majuha.
Majuha sana,utakuta linatiwa na fala fulani halina mbele wala nyuma,tena kibamia halafu ananuka kikwapa.
 
Back
Top Bottom