Na mume wangu kipenzi teh

Na mume wangu kipenzi teh

Jana niliona mada kuna jamaa kazimika na wewe ile mbaya humu JF. Sijui ulimsaidiaje maana hata PM zake eti haujibu...
Haha me namuombea tu apate manzi mzuri zaidi yangu.
 
Haha me namuombea tu apate manzi mzuri zaidi yangu.
Mmmh! Sio kwa kumfariji huko... Mi nikajua utakuwa umemuonjesha kidogo na kumwambia aende zake, kumbe ametoka kapa kabisa... Namsikitikia maana alifunguka ile mbaya hapa jukwaani....
 
Mmmh! Sio kwa kumfariji huko... Mi nikajua utakuwa umemuonjesha kidogo na kumwambia aende zake, kumbe ametoka kapa kabisa... Namsikitikia maana alifunguka ile mbaya hapa jukwaani....
Alikua anatania tu
 
0ca2eb2304c7b0511df59f14d9f255b1.jpg
'beauty is in the eye of the beholder'
 
Sa zingine tunawapendaga Basi Tu lakin ndo hivo NDOA ni kuvumiliana jiulize wazaz wetu mpaka leo wapo wanapendana
 
Back
Top Bottom