N/korea Watest Kombora lililosafiri kilometer 700

N/korea Watest Kombora lililosafiri kilometer 700

Wewe ndio huyajui ilhali yapo peupe ingia hata google hapo saivi tafuta nchi zenye majeshi imara duniani watakuonyesha na allocatio ya bajeti zao katika jeshi sasa hutaki kufanya research alafu unataka kubishana unasababisha uzi unakuwa mrefu tu
kwa hyo google ndo utafiti wako? kwa hyo unadhani bajeti ya jeshi ndio ufanisi wa moja kwa moja kwenye vita?
 
Marekani ana makombora yanayofika popote duniani korea anatest km 700, marekani wana ndege za kivita za kisasa zenye gharama na zisizomilikiwa na nchi yeyote duniani, marekani huwez kumpiga kwa nuclear wala kwa mtutu tena bora korea kusini na china wanaweza kujaribu kumpiga marekani lakini sio N.korea
Funika ujinga wako,hujui lolote kuhusu nkorea,tumia akili ndogo tu tangu miaka 80s mie nakua nasikia marekani anamtishia kumvamia nkorea mpaka leo thubutu yake hakanyagi pale, anajua ule sio mziki wa kitoto, tafuta historia ya nkorea toka vita ya 2 ya dunia mpaka sasa uisome utaelimika sio kuleta ushabiki wa kijinga, madhara ya kuanzisha vita na nkorea ni makubwa sana kwa marekani japo uwezekano wa yeye kushinda ni mkubwa lakini atapata hasara kubwa sana,katika nchi tishio kwa marekani 1.urusi 2.nkorea 3.China.
 
Mkuu hivi mwenye kelele ni nani kati ya n.korea na marekani? Fuatilia historia ya huu mzozo, Marekani huwa hawana mbwembwe za kufanya millitary exhibition kama korea, unakumbuka moja ya sababu iliyomuangusha Britain kama super power ni exhibition huwezi kumwambia adui eti mimi nina slaaa kiasi fulani wakati hujui yeye yupo vipi, mfano n.korea wanawekeza about 20 trillions tsh kwenye jeshi wakati majirani zao south korea wanawekeza 100 trillions tsh kwenye jeshi hawa wote hawamfikii marekani kiuwekezaji katika jeshi, Tusitumie ushabiki kuwajudge hawa.
Haya ndio mawazo watu hawajiulizi kwanini haya mataifa kama Russia, NK, etc yanafanya millitary exhibition alaf Us hafany? Hii itamsaidia US kujua wako wapi ki tech na vipi ajiandae Sio kama upuuzi alio fanyaga Britain akigundua tu anakimbilia kutangaza mwishowe anatishiwa hovyo. Us anawaumiza vichwa wakiwemo Urus kwamba mbona hafanyi millitary show off....US ana akili sana
 
Kaka inabidi ufanye utafiti kidogo, nguvu ya keshi la korea kusini inatokana na mkono wa marekani hivyo korea kusini wanajeshi la anga la recent technology kuliko north korea mfano korea kusini wana ndege (war drones) nyingi za teknolojia ya kisasa kuliko north korea japo wana idadi ndogo ya wanajeshi kuliko n.korea lakini teknolojia yao ya kivita ni kubwa kuliko n.korea kwa ufadhilia wa USA kushinda vita ya kisasa unahitaji kuwa na technology kubwa ya kijeshi sio kuwa na wanajesh waliojipanga kama siafu, kim ni mpiga kelele tu.
Sasa wana wasiwasi wa nn.....mpaka US anajitokeza kuwalinda...tena na Japan juu.....Hamna kitu hapo..bila msaada wa US na Japan...South Korea hawezi kuhimili mikikimikiki ya North Korea.....Kumbuka North Korea uchumi wake anauelekeza zaidi katika uzalishaji kwa ajili ya vita...kuliko civilian uses...ndo maana wanatenga pesa nyingi kwa ajili ya majaribio ya hayo makombora na silaha nyingine....hivyo kijamii wanaweza kuwa chini kimaendeleo lkn kijeshi wako vizuri....na ndo maana hao south wanakuwa hawana amani.
Ingelikua hao North K hawana uwezo wowote kijeshi....kitambo sana US angeishauangusha huo utawala....

Lkn pia sioni kama hawa jamaa wanahaja ya kupigana....hawana sababu hata kidogo.....North na South wakae wenyewe wadiscuss huo mgogoro bila kuwaingiza US kwanza...waweke tofaut zao pembeni.....Vita vyovyote katika Rasi ya Korea havina maana yoyote
 
Kombora la kilometa 700 halifiki hata dar tabora ha ha ha
 
Kombora la kilometa 700 halifiki hata dar tabora ha ha ha
Nilipoona habari hii,nikabidi nikatafute google huko kama kweli jamaa walifanya hivyo. Kwa mujibu wa wataalam waliohojiwa na BBC,wanadai inaonekana kombora lilianzishwa katika chanzo chenye high Trajectory(refer Projectile Motion), na hivyo kwa kutumia nadharia hiyo,wataalam wa Kijapan wamekisia kuwa hilo Kombora kwa nadhari yao linaweza kufika Kilometa 4000! Lakini kwa sababu siyo US au yeyote ajuae ni kombora gani NK wamerusha lakini imeleta alarm kwa wakubwa. Wataalan wa Kijapan wanasema limetumia nusu saa hadi kuanguka karibu na Pwani yao.
 
Nimekupenda sana kijana wangu CHAZA inaonekana unafuatilia vyema hili la leo
 
Nilipoona habari hii,nikabidi nikatafute google huko kama kweli jamaa walifanya hivyo. Kwa mujibu wa wataalam waliohojiwa na BBC,wanadai inaonekana kombora lilianzishwa katika chanzo chenye high Trajectory(refer Projectile Motion), na hivyo kwa kutumia nadharia hiyo,wataalam wa Kijapan wamekisia kuwa hilo Kombora kwa nadhari yao linaweza kufika Kilometa 4000! Lakini kwa sababu siyo US au yeyote ajuae ni kombora gani NK wamerusha lakini imeleta alarm kwa wakubwa. Wataalan wa Kijapan wanasema limetumia nusu saa hadi kuanguka karibu na Pwani yao.
Pia sio hivyo tu, analyst wakimarekani wanasema sio intercontinental ballistic Missile.
Hivyo basi kombola lililojaribiwa ukute bado ni la kawaida sio yale tulioyaona yenye uwezo wa kusafiri umbali zaidi, na yanauwezo wa kubeba Nuclear.
CC@xav Bero
 
We ndo muongo
Dar to Musoma ni takribani km 1400...
Kutoka Tabora mpaka Musoma unavuka mikoa miwili ambayo average distance inaweza kua km 500 inamaana 1400-500 jibu lake ndio distance ya Dar to Tabora
Afadhali umsaidie
Dar-Tabora ni 896.46 Km kwa gari. Jamaa anashindwa hata kugoogle
 
Wakat ni km 823 kwa gar na ukitumia ndege ni 740 so uongo kama kombora lina kwenda 700km ni kwamba halifiki tabora Man
 
North korea wana kelele nyingi maonyesho mengi lakini vita hawawezi
We mkuu ulicho kiandika unakielewa na kinacho endelea N.Korea?

Ni wapo N.Korea alisema anataka vita?

N.Korea alisema atafanya test silaha zake kila wiki na siyo kuwa anataka vita......

Uwe na tabia ya kupiga misele google kabla ya kukurupuka kurupuuu.....
 
Umeandika uongo kwa sababu Dar-Tabora ni km 850 na sio chini ya km 700 kama ulivyosema wewe

Nimekuwekea source hapo angalia

[Tanroads Official Website]Tanroads Official Website
Kweli vilaza mpo wengi hebu nisome tena vizur sio unashupalia jambo lililo nje ya nilichoongea.. Najinukuu KOMBORA LA KM 700 HALIFIKI HATA DAR TO TABORA kwa kujua dar to tabora ni more than 800 km so hilo la km 700 litafikaje,,,umekutwa na vyeti feki wewe sio bure
 
Marekani hawaendi kichwakichwa kama huna mafuta wala chochote wanachoweza kuchukua hawaji ng'ooo, hata Tanzania leo ikitangaza vita na marekani hawaji kama hakuna cha kuchukua.
NK awana chochote[emoji15] [emoji15] [emoji15] wakati wanamiliki adui mkuu wa marekani yaani nuclear weapons we kweli zuzu
 
Wakat ni km 823 kwa gar na ukitumia ndege ni 740 so uongo kama kombora lina kwenda 700km ni kwamba halifiki tabora Man
Acha uongo wewe dar to tabora ni km 250 tu
sio wewe naona hap jamaa kachanganya, kuna jamaa hapo juu Chibolo
akanushe, maana jukwaa la kimataifa Sound sio kitu kizuri....
 
Back
Top Bottom