CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Kuna mzungu mmoja alikuja nchini kikazi,sasa ili japo awe anapiga story na mswahili ikampasa kuanza kujifunza kiswahili.
Baada ya mafunzo mafupi akakalili maneno matatu katika salamu(Jambo,salama,safi sana)
Siku moja asubuhi akakutana na dada mmoja aliyefiwa,maongezi yao yakawa hivi:
Mzungu:dada Jambo?
Dada:Sijambo!
Mzungu:Salama?
Dada:Siyo salama nimefiwa.
Mzungu:Safi sana!!!!!
Baada ya mafunzo mafupi akakalili maneno matatu katika salamu(Jambo,salama,safi sana)
Siku moja asubuhi akakutana na dada mmoja aliyefiwa,maongezi yao yakawa hivi:
Mzungu:dada Jambo?
Dada:Sijambo!
Mzungu:Salama?
Dada:Siyo salama nimefiwa.
Mzungu:Safi sana!!!!!