LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Kwa hiyo mwanzisha mada lengo lako kubwa ni nin?? Hasa au unataka kutushawishi tukubaliane na kuwatetea hao majangiri na majambazi??
Tusiwe wanafiki jamani mbona tunaelekeza lawana na hukumu zoote kwa huyo mzungu na kusahau ya kuwa serikali yetu inaongoza kwa kuwaua na kuwatandika risasi watanzania wenzetu wasio na kosa au hatia yoyote ile.
Mzungu huwa anaua majangiri,majambazi
na serikali huwa inaua wananchi wasio na hatia? Je? Hapo mwenye kosa ni nan?
Tusiwe wanafiki jamani mbona tunaelekeza lawana na hukumu zoote kwa huyo mzungu na kusahau ya kuwa serikali yetu inaongoza kwa kuwaua na kuwatandika risasi watanzania wenzetu wasio na kosa au hatia yoyote ile.
Mzungu huwa anaua majangiri,majambazi
na serikali huwa inaua wananchi wasio na hatia? Je? Hapo mwenye kosa ni nan?