Mzungu kupiga watanzania risasi kila mara ni haki?

Lilemekisande

Member
Apr 14, 2012
5
0
Ndugu zangu wana jamii,mimi ni Mtanzania ambaye nasikitishwa sana habari ya kila siku kwa Watanzania kunyanyasika katika nchi yetu,Habari hii ni kutoka Mirerani Mkoa wa Manyara Wilaya ya Simanjiro katika kijiji cha Naisinyai ambako ndipo ilipo kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite iitwayo Tanzanite One Mining LTD.Kuna mzungu mmoja ni mwajiliwa wa kampuni hiyo aitwae Collin mnamo mwaka kati ya 2003 mpaka 2005 aliwahi kumpiga risasi kijana mmoja na kumuua kisa eti alikuwa andandia gari lililokuwa limebeba udongo uliotoka mgodini,kesi hii ilizungushwa zungushwa tu na huyo mzungu akakimbilia kwao South africa,alikaa huko kwa muda na mara tena akarudi na kuendelea na kazi,watu walijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu,hilo likawa limepita.Ila ajabu nyingine tena amerudia tabia yake ya kupiga watu risasi.Ni kama siku 5 au 7 zimepita amefanya tena tukio hilola kupiga vijana wa huku Mirerani kwa risasi na vijana hao inasemekana waliingia kwenye mgodi wao bila ruhusa basi yeye akachukua jukumu la kuanza kurusha risasi kwa watu hao,sasa mimi swali langu ni kwamba hivi serikali yetu iko kweli kwa ajili ya watanzania au kwa ajili ya wawekezaji wakorofi kama hawa,jamani mimi nimemaliza ila naomba nanyi mtoe mawazo yenu.
 
'kuingia mgodini bila ruhusa' hapa ndo tatizo. Sijui mtu akiingia gheto kwako bila ruhusa itakuwa vipi timbwili lake, kama juzi yake ulilizwa TV.
 
Kaka kama mwizi hajakimbia unampiga tu risasi?kama ndio matumizi yake basi kila siku tungesikia mauaji ya silaha kisa tu mtu kaingia ndani kwako.
 
Kaka kama mwizi hajakimbia unampiga tu risasi?kama ndio matumizi yake basi kila siku tungesikia mauaji ya silaha kisa tu mtu kaingia ndani kwako.

anapigwa za miguuni atulie kwanza, au mkononi adondoshe panga lake.
Ila si busara sana kwa mhalifu kujipangia adhabu (reaction)
 
Nashawishika kuwashauri wana mererani wamuue huyo mbaguzi kama kuna wanaomlinda wajifunze. Pigeni mshale huyo mjinga. Hawa makaburu (baadhi) wana ubaguzi sana. Kama mtu ameingia eneo lao na hakuwa na silaha kuna taratibu. Imefika wakati wa kuwafundisha haya majitu na wanaowalinda kwa njia ngumu
 
Hizi ndizo faida za uwekezaji alizokuwa akijisifia Benjamin Mkapa. Aishiye kwa upanga atakufa kwa upanga na auaye auawe pia.
 
Wala sio kwa mwekezaji tu anayeweza kuchukua hatua kama za huyo kaburu, hata wewe jaribu kudandia gari ya benki ya makabwela (NMB) ikiwa na pesa uone nini kitatokea!! Hao ni majangiri tu wanao vamia migodi na wanakuwa tayari kwa kifo.
 
Wala sio kwa mwekezaji tu anayeweza kuchukua hatua kama za huyo kaburu, hata wewe jaribu kudandia gari ya benki ya makabwela (NMB) ikiwa na pesa uone nini kitatokea!! Hao ni majangiri tu wanao vamia migodi na wanakuwa tayari kwa kifo.

Kwa hiyo mkuu unatuaminisha kuwa kwa kuwa Nmb wanafanya hivyo basi kaburu akifanya hivo itakuwa sahihi? Kama ndivyo, utatuambia pia kwa kuwa kuna wanaume mashoga basi ushoga ni kitu poa. Nina mashaka na hiyo hoja yako
 
Ndugu zangu wana jamii,mimi ni Mtanzania ambaye nasikitishwa sana habari ya kila siku kwa Watanzania kunyanyasika katika nchi yetu,Habari hii ni kutoka Mirerani Mkoa wa Manyara Wilaya ya Simanjiro katika kijiji cha Naisinyai ambako ndipo ilipo kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite iitwayo Tanzanite One Mining LTD.Kuna mzungu mmoja ni mwajiliwa wa kampuni hiyo aitwae Collin mnamo mwaka kati ya 2003 mpaka 2005 aliwahi kumpiga risasi kijana mmoja na kumuua kisa eti alikuwa andandia gari lililokuwa limebeba udongo uliotoka mgodini,kesi hii ilizungushwa zungushwa tu na huyo mzungu akakimbilia kwao South africa,alikaa huko kwa muda na mara tena akarudi na kuendelea na kazi,watu walijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu,hilo likawa limepita.Ila ajabu nyingine tena amerudia tabia yake ya kupiga watu risasi.Ni kama siku 5 au 7 zimepita amefanya tena tukio hilola kupiga vijana wa huku Mirerani kwa risasi na vijana hao inasemekana waliingia kwenye mgodi wao bila ruhusa basi yeye akachukua jukumu la kuanza kurusha risasi kwa watu hao,sasa mimi swali langu ni kwamba hivi serikali yetu iko kweli kwa ajili ya watanzania au kwa ajili ya wawekezaji wakorofi kama hawa,jamani mimi nimemaliza ila naomba nanyi mtoe mawazo yenu.

Huyu jamaa lazima akamwatwe na ahukumiwe kifo kwa sababu ameua mtu na anaendelea kua watu (huyu jamaa labda anatudhania sisi watanzania kama bata anaweza kutua wakati wowote tena kwa bunduki, na sisi tunamwacha tu bila kumpeleka mahakamani), nashangaa sana kwa nini hakamatwi ? kisa hiki kimenikumbusha ukoloni. inasikitisha sana.
 
Linalotoka Kinywani mwangu ni moja " Kuweni macho na marafiki wa kigeni kwani wana hila , wanajifanya wanatoa misaada kumbe wanachota Mali na Rasilimali za Nchi na kuwaacha na Umasikini wenu.......... naomba mzingatie neno hili.´´

James Irenge ' Mwalimu wa Mwalimu Nyerere'

 
Ndugu zangu wana jamii,mimi ni Mtanzania ambaye nasikitishwa sana habari ya kila siku kwa Watanzania kunyanyasika katika nchi yetu,Habari hii ni kutoka Mirerani Mkoa wa Manyara Wilaya ya Simanjiro katika kijiji cha Naisinyai ambako ndipo ilipo kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite iitwayo Tanzanite One Mining LTD.Kuna mzungu mmoja ni mwajiliwa wa kampuni hiyo aitwae Collin mnamo mwaka kati ya 2003 mpaka 2005 aliwahi kumpiga risasi kijana mmoja na kumuua kisa eti alikuwa andandia gari lililokuwa limebeba udongo uliotoka mgodini,kesi hii ilizungushwa zungushwa tu na huyo mzungu akakimbilia kwao South africa,alikaa huko kwa muda na mara tena akarudi na kuendelea na kazi,watu walijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu,hilo likawa limepita.Ila ajabu nyingine tena amerudia tabia yake ya kupiga watu risasi.Ni kama siku 5 au 7 zimepita amefanya tena tukio hilola kupiga vijana wa huku Mirerani kwa risasi na vijana hao inasemekana waliingia kwenye mgodi wao bila ruhusa basi yeye akachukua jukumu la kuanza kurusha risasi kwa watu hao,sasa mimi swali langu ni kwamba hivi serikali yetu iko kweli kwa ajili ya watanzania au kwa ajili ya wawekezaji wakorofi kama hawa,jamani mimi nimemaliza ila naomba nanyi mtoe mawazo yenu.

Me nakereka sana na lawama kama hizi,Serikali hii si yenu ni ya wageni nawashangaa mnavyolalamika kuhusu serikali,Kwani nyie hamjui kutengeneza silaha za jadi /mikuki ,mishale,manati ect ect?acheni kulalamika.
 
Nashawishika kuwashauri wana mererani wamuue huyo mbaguzi kama kuna wanaomlinda wajifunze. Pigeni mshale huyo mjinga. Hawa makaburu (baadhi) wana ubaguzi sana. Kama mtu ameingia eneo lao na hakuwa na silaha kuna taratibu. Imefika wakati wa kuwafundisha haya majitu na wanaowalinda kwa njia ngumu

Haya mambo wanayaweza Tarime tu, wakiamua wameamua hakuna wa kuwazuia,nawakubali sana Wakurya.
 
Kwa hiyo mkuu unatuaminisha kuwa kwa kuwa Nmb wanafanya hivyo basi kaburu akifanya hivo itakuwa sahihi? Kama ndivyo, utatuambia pia kwa kuwa kuna wanaume mashoga basi ushoga ni kitu poa. Nina mashaka na hiyo hoja yako[/

Mkuu hapa naona wewe una uelewa,maana wengine naona wanaunga mkono tabia hii,kiukweli kuna hali mbaya sana juu ya hawa makaburu,
 
Waueni kama na nyie wanawaua an eye for an eye...nchi hii haina serikali..wenye hela ndio wanasikilizwa
 
Kisha wafundishe wenzio kutoingia kwenye boma la mtu. Hata ukimuua huyo atakuja subshooter mwingine. Dawa ni kuacha kuingia kwenye boma la mtu.ciao
Nashawishika kuwashauri wana mererani wamuue huyo mbaguzi kama kuna wanaomlinda wajifunze. Pigeni mshale huyo mjinga. Hawa makaburu (baadhi) wana ubaguzi sana. Kama mtu ameingia eneo lao na hakuwa na silaha kuna taratibu. Imefika wakati wa kuwafundisha haya majitu na wanaowalinda kwa njia ngumu
 
Mhalifu anatakiwa kukamatwa na kushtakiwa kwenye vyombo husika na sio watu kujichukulia sheria mikononi!!!Huyo Mzungu anatakiwa apelekwe kunakohusika!!!

Vyombo vipi husika na vya Serikali ipi hii ya CCM?Labda angekua mwanachama wa chadema sawa. Nyani anashirikiana na Ngedere kula mahindi ya binadamu ,halafu kesi mpelekee Nyani. si wamesema alishaua kwanza wakamtorosha kwao , mambo yamepoa karudi tena. Mtungueni na mMshale wenye Sumu mchezo uishe. Ndiyo watajua hata Manyunyu ni Mvua pia.
 
Ndugu zangu wana jamii,mimi ni Mtanzania ambaye nasikitishwa sana habari ya kila siku kwa Watanzania kunyanyasika katika nchi yetu,Habari hii ni kutoka Mirerani Mkoa wa Manyara Wilaya ya Simanjiro katika kijiji cha Naisinyai ambako ndipo ilipo kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite iitwayo Tanzanite One Mining LTD.Kuna mzungu mmoja ni mwajiliwa wa kampuni hiyo aitwae Collin mnamo mwaka kati ya 2003 mpaka 2005 aliwahi kumpiga risasi kijana mmoja na kumuua kisa eti alikuwa andandia gari lililokuwa limebeba udongo uliotoka mgodini,kesi hii ilizungushwa zungushwa tu na huyo mzungu akakimbilia kwao South africa,alikaa huko kwa muda na mara tena akarudi na kuendelea na kazi,watu walijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu,hilo likawa limepita.Ila ajabu nyingine tena amerudia tabia yake ya kupiga watu risasi.Ni kama siku 5 au 7 zimepita amefanya tena tukio hilola kupiga vijana wa huku Mirerani kwa risasi na vijana hao inasemekana waliingia kwenye mgodi wao bila ruhusa basi yeye akachukua jukumu la kuanza kurusha risasi kwa watu hao,sasa mimi swali langu ni kwamba hivi serikali yetu iko kweli kwa ajili ya watanzania au kwa ajili ya wawekezaji wakorofi kama hawa,jamani mimi nimemaliza ila naomba nanyi mtoe mawazo yenu.

Samahani kama ntakukwaza... unataka serikali ifanye nini??? watu mko zaidi ya laki halafu mzungu mmoja mnayemjua mnamuangalia na kuja kulalama huku

ANZENI KUWATANDIKA NA KUWACHOMA MOTO MUONE KAMA WATAWAUA TENA.... WANATUDHARAU KWASABABU KAZI YETU NI KULALAMA TU!!! MWAMBIE AKAJARIBU KWAO SOWETO AONE

TUMEZIDI SASA, FIKISHA UJUMBE KWA VITENDO KAMA UMEONA MENGINE YAMESHINDIKANA.... KUMBUKA KWAMBA HUYO JAMAA ANAPITA KWENYE BORDERS ZETU NA ANAGONGEWA VISA ILHALI INAJULIKANA KABISA YEYE NI MUUAJI, NCHI IMESHAUZWA MKUU, DAI KWA VITENDO
 
Mkuu, mbona hoja yake ni nzuri tu؛‎ usipende kudandia vya wenzio. Kwani wewe mtu akiingia kwenye boma lako utamfanyaje?
Kwa hiyo mkuu unatuaminisha kuwa kwa kuwa Nmb wanafanya hivyo basi kaburu akifanya hivo itakuwa sahihi? Kama ndivyo, utatuambia pia kwa kuwa kuna wanaume mashoga basi ushoga ni kitu poa. Nina mashaka na hiyo hoja yako
 
Back
Top Bottom