As long as Africans continue to believe this words , we will perish. Christianity was the worst thing to happen to Africans, sababu tutaonewa na kuendelea kugeuza shavu eti tutazawadiwa Baada ya kufa. Huku wengine wanafaidika wakiwa hai. Hao hao walioleta hilo neno hawageuzi shavu, kwanini sisi tunaendekeza huu ujinga ???
As long as Africans continue to believe this words , we will perish. Christianity was the worst thing to happen to Africans, sababu tutaonewa na kuendelea kugeuza shavu eti tutazawadiwa Baada ya kufa. Huku wengine wanafaidika wakiwa hai. Hao hao walioleta hilo neno hawageuzi shavu, kwanini sisi tunaendekeza huu ujinga ???
For status Christianity was brought to Africans in order to soften Africans minds to accept ukoloni, wakatupumbaza vya kutosha na kujichotea neema zetu walivyotaka, sasa huu umbumbumbu umetukaa hadi leo hata kwa suala km hili hatutaki kuuona ukweli, mzungu ni mtu hatari sn na hakuwahi mpenda mwafrika(haijalishi ni wa dini gani) so tusijisahau.
For status Christianity was brought to Africans in order to soften Africans minds to accept ukoloni, wakatupumbaza vya kutosha na kujichotea neema zetu walivyotaka, sasa huu umbumbumbu umetukaa hadi leo hata kwa suala km hili hatutaki kuuona ukweli, mzungu ni mtu hatari sn na hakuwahi mpenda mwafrika(haijalishi ni wa dini gani) so tusijisahau.
Ofcoz we must think twice.maneno mengine yamewekwa kuruhusu watu wakubali kuonewa.
Akikupiga kulia mpinge kulia.
FarePlay
As long as Africans continue to believe this words , we will perish. Christianity was the worst thing to happen to Africans, sababu tutaonewa na kuendelea kugeuza shavu eti tutazawadiwa Baada ya kufa. Huku wengine wanafaidika wakiwa hai. Hao hao walioleta hilo neno hawageuzi shavu, kwanini sisi tunaendekeza huu ujinga.
GAIDI ZUNGU LA KIKRISTO...
Wakiristo wabongo kwa kujipendekeza kwa wazungu...
Wazungu wanaona nyinyi Sokwe na Nyani tu...
Huku sasa hivi wanapongezana wameua Sokwe tisa
Unajua historia yoyote kuhusu slave trade.mwarabu alikuwa anamuuza mwafrika kwa mzungu .sorry watu hawakuelewi usikate tamaa keep on writing .Usishikwe na hasira ukikosolewa learn and move on .A lot of crazy and bitter people nowadays .Smile and be happy life is good
Na sisi tuache kujipendekeza kwao
mkuu majukumu tu yamenibana....... mimi huwa sielewi kila kitu tunaiga kwao ndiyo tunaona ustaarabu ... kiukweli kunawakati wakitufanya vitu mi naonaga si ndiyo chanzo,... hata hapa bongo unaweza kuwa na issue inafanana na hawa vitimoto lijitu leusi litafanya fasta .. ha;afu jitu mwenzie mweusi atamletea nyodo.. nyambafu kabisaMiss chaga, upo mdada? sijukuona humu siku nyingi. Ni kweli tuache kujipendekeza, yani sijui tumelogwa na nini eti mtu akiwa na boyfriend/girlfriend mzungu anajisikia kuwa kayapatia maisha, damme it!!! hawa jamaaa ni kitimoto tu, japo ni member wa kitoweo hiki.
mkuu majukumu tu yamenibana....... mimi huwa sielewi kila kitu tunaiga kwao ndiyo tunaona ustaarabu ... kiukweli kunawakati wakitufanya vitu mi naonaga si ndiyo chanzo,... hata hapa bongo unaweza kuwa na issue inafanana na hawa vitimoto lijitu leusi litafanya fasta .. ha;afu jitu mwenzie mweusi atamletea nyodo.. nyambafu kabisa
Yani uko sahihi kabisa, mmi juzi nilikuwa uwanja wa ndege Mwl. JKNIA dirisha la kenya airways na nunua ticket, wafanyakazi pale walikuwa ni wadada wawili kwa bahati nzuri wanaongea kiswahili cha bongo, nilihisi furaha kwani nilijua nahudumiwa na ndugu zangu, kabla hawaja print ticket yangu walikuja wazungu wawili, wao walionyesha ustarabu kwa kusubiri mpaka mimi nihudumiwe na kuondoka!!!! Ajabu ya mwaka; walinipotezea na wote wakaanza kuwachangamkia wale wa wazungu, yani wote wawili, mzungu mmoja alinishitukia kuwa nimechukizwa na akamvuta mwenzie kama mita moja hivi nyuma, niliwauliza wale wadada kwa nini hammalizani na mimi kwanza ndio muendelee na wateja wengine tena ambao wamenikuta? Nilijuta, niliporomoshewa maneno mazitomazito sikuamini. Naungana na ww Miss Chaga kuwa sisi ndio chanzo cha matatizo, acha watutwange risasi tu