Wazungu wabaguzi sana,kwahili Obama aonyeshe msimamo wake sasa
Sasa obama anaubavu gani ? USA Ina 3 branches of government .unaambiwa foundation fathers wa nchi hii waliitengeneza hii nchi kiasi kwamba no socialism no dictatorship .Obama mwenyewe hizo executive order zake zimestopishwa mahakamani .Na hiyo obama care sasa hivi ipo Supreme Court huko wakiitupia mbali ndio imetoka .we