Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

Mzungu amepiga risasi Wamarekani weusi wenye asili ya Afrika wakiwa kanisani kwenye Ibada, sasa hapo udini unaweza kuepukika vipi? Unaweza kuniambia?

Waafrika dini yetu ni moja tu."Mungu" pekee yake,hatuna mwakilishi yeyote,kwani sisi sote ni watu wake na tuna uhuru wa kumuomba bila kumpitia nabii,mtume au mganga.Huu ni ubaguzi wa rangi.Ni kweli baadhi ya wazungu,na serikali zao,ni za kibaguzi,unyanyasaji na ubabe sana.Hata wakiwa hapa,bado baadhi yao ni wabaguzi.Wote hawa,wahindi,waarabu,wachina wote wana ugonjwa wa ubaguzi.Tuweni macho sana na misaada yao.
 
lomayani

Swali ni kwamba kwani nini sisi tu? Hilo ndiyo swali linalohitaji majibu!


Kwa maana kama ni kujibadilisha na kujaribu kuwa kama wao ili watukubali basi hakuna watu waliofanikisha hili kama sisi waafrika weusi, kama ni swala la Uislamu hakuna waliojaribu kuwa kama Waarabu kama sisi Waafrika, kama ni swala la Ukristo hakuna waliojaribu kuwa kama wazungu kama sisi waafrika tumebadilisha mpka majina yetu, tumechukua Lugha zao mpaka hata tumetoa maana ya jina zuri na baya leo hii ukiuliza Mtu akutajie jina zuri utasikia anakwambia Rodney, Michael n.k na baada ya kufanya yote haya bado tu hawatukubali sasa ni kwa nini?

Mimi nimeshaona Waafrika weusi wanapigana ngumi na kuumizana kwa kuwa Mwarabu alikashifiwa na kwa kuwa yeye ni Mwislamu mweusi na Mwarabu ni Mwislamu akaamua (Mweusi) kupigana kumetetea Mwarabu sasa ni kwanini?
 
Last edited by a moderator:



Source: Nine Dead in Shooting Rampage Inside South Carolina Church; Gunman at Large
Wewe una wrong formation of your mind and at the end will make you suffer a lot. Don't dare in your life to fight with what was the plan of God. Christianity was born before you and is the dry tree,so to say it will be there until Himself who started will come. Read history and histories they fight it,kill their members but is there and the blood of those marters become the seed again for it. 'Be open minded man don't close yourself in a jungle of darkness of wrong conception formed in your religion ' take care. Respect and you will be respected.ok
 
roof2_635x250_1434637385.jpg

roof2_635x250_1434637385.jpg


Dylann Roof
 
Haya watanzania tunaobbaguana kwa udini kisa dini za kuletewa mnaona?
Oooh! Mimi kama mzzungu,unadhani wazungu wanawapenda?
 
Na bado tunavuka bahari kila siku huko Mediterranean kwenda kusaka makazi kwa wazungu
 
Barnabosa
Kama jambo limetokea kanisani haipaswi kulalamika.. Kwa maana,Wanasema Yesu alisema,

Mathayo 5:39-40
"Lakini mimi nawambia msishindane na mtu mwovu.Akikupiga shavu la kulia mgeuzie na la kushoto pia 40.na kama mtu akitaka kukushitaki achukue shati lako,mwachie achukue na koti pia"

Mathayo 5:45-46
"Lakini mimi nawambia wapendeni maadui zenu na waoombeeni wanaowatesa46. Ili mpate kuwa watoto wa baba yenu aliye mbinguni.
 
Last edited by a moderator:
Barbarosa
Barbarosa , kwa hili nimekukubali mkuu, sisi waafrika tungekua na akili Mwanamalundi tungemfanya nabii wetu kwa maajabu yake aliyokua akifanya enzi hizo kiasai cha kuweza kuvuka bahari ya hindi toka Zanzibar kupitia Dar hadi Usukumani, lakini kwa kuwa brainwashed na wazungu hata kumbukumbu zake tu ni adimu na tumekumbatia majina yao hao waarabu na wazungu wakati majina hayo kwao ni ya koo zao na mila zao! Kweli hatujitambui kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Na bado tunavuka bahari kila siku huko Mediterranean kwenda kusaka makazi kwa wazungu

Tunatia aibu sana sisi African countries, media zao zinaeleza vibaya sana kuhusu sisi kuingia huko kwao.

Jana BBC news imeripoti kuwa hadi sasa ufaransa ina wahamiaji haramu toka africa takribani elfu kumi inaowahudumia na sijajua inchi nyingine kama italy n.k
 
Huyu jamaa angekuwa Muislam vyombo vyote vya habari vingemuita GAIDI bahati nzuri ni Mkristo anaitwa muharifu.
 
Tunatia aibu sana sisi African countries, media zao zinaeleza vibaya sana kuhusu sisi kuingia huko kwao.

Jana BBC news imeripoti kuwa hadi sasa ufaransa ina wahamiaji haramu toka africa takribani elfu kumi inaowahudumia na sijajua inchi nyingine kama italy n.k

Ha ha wakati mwingine nasema wacha waende tu, waonje machungu ya kulifanya bara la Africa maskini

Na kwa hili hata wakihamia maelfu waende japo ni aibu lakin walau sasa wakielemewa waone umuhimu wakuifanya Africa iwe huru kiuchumi
 
Haujanielewa nilichotaka kusema ni kwamba iwe fundisho kwetu kama kuna lolote la kujifunza hapo ya kwamba Mzungu Mkristo anachukia Mtu mweusi Mkristo mwenzake tena mwenye jina kama lake la Julius, Edward, Sospeter n.k kuliko anavyomchukia Mwarabu ambaye ni Muislamu na hata asiye na jina kama lake na wala asiyejua kiingereza!

Umejuaje kama huyo mzungu ni mkristo?
 
Back
Top Bottom