kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
kahtaan quran inasema kama mambo yakiwachachia au yakiwashinda mtuulize sisi wataalamu wa maandiko tuwasaidie hata hiyo aya uliyoiweka imesema wazi kuwa baadhi msiwatii lakini sisi wengi mnatakiwa mtutii,Harafu wewe unaniambia kaa mbali ------,mimi siwezi kukaa mbali nanyi maana mambo yakiwachachia tuweze kuwasaidia.maana bila ------ hakuna uislamu maana hamtasaidiwa na mtu.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَنْ يَتَوَلَّهُمْ مِنْكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Mkafiri Aliyelaaniwa Abadan hawezi kuwa Rafiki wa Muislamu.
Hilo halipo.
Wapi Mla nyamafu akashauri Mla Biriani ya Mbuzi.?
Last edited by a moderator: