Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

Tatizo hamna mzungu,iko kwa african kwanza naaza kubaguliwa toka mwanzo naambiwa kuwa christian lakini hamna kuingia kanisa ya whites halafu venyewe na kubali,hiku white na arabs nauza africans kama slaves,kama ve nazani nyie hamna problem angali ndani ya jamii forums african natukana ingine shauri ya dini ya arabs na wazungu,leo african anapigana vita ya masters yao kwa jina ya dini,kwanini africans waliacha dini yao?
 
Swali ni kwamba hiyo power Wazungu wameipata wapi? Na kwanini waitumie hiyo power kwetu tu (Sisi Waafrika weusi)? Power ya Wazungu inahusiana nini na sisi kujiita Donald, Julius, Wilbrod, William, kuandika majina yetu ya kiafrika kwa kizungu kama Zitto badala Zito au Sitta badala ya Sita? Ni kwa nini Wahindi hawaitwi Macdonald au Elizabeth?

Kwani kuna tatizo gani kwenye majina kwani hakuna wahindi wanaoitwa John...kama unataka mtu aitwe Sita badala ya sitta bado unakosea..waafrika tengenezeni herufi zenu. Kuhusu kwanini waitumie kwetu sababu ni rahisi kuliko kuitumia kwenye race nyingine..ni ujinga kumlaumu mzungu kwa unyonge wetu yani unataka watu-treat fairly kitu hiko hakipo lazima ufanya mtu akuone uko sawa nae ndio atakupa heshima
 
Ndio maana nikasema nina tatizo la kuandika na kueleweka na kila mtu, kwa bahati mbaya sina hicho kipaji!
Sasa wewe una nakili aya moja na kuhitimisha kwamba nawapenda Waarabu na kuwachukia Wazungu lakini hautaki/hauwezi kusoma habari yote na ambapo hayo unayoyauliza nimeyaandika!

Unajua historia yoyote kuhusu slave trade.mwarabu alikuwa anamuuza mwafrika kwa mzungu .sorry watu hawakuelewi usikate tamaa keep on writing .Usishikwe na hasira ukikosolewa learn and move on .A lot of crazy and bitter people nowadays .Smile and be happy life is good
 
Haujanielewa nilichotaka kusema ni kwamba iwe fundisho kwetu kama kuna lolote la kujifunza hapo ya kwamba Mzungu Mkristo anachukia Mtu mweusi Mkristo mwenzake tena mwenye jina kama lake la Julius, Edward, Sospeter n.k kuliko anavyomchukia Mwarabu ambaye ni Muislamu na hata asiye na jina kama lake na wala asiyejua kiingereza!

Kwa hiyo angekuwa mwislamu mweusi asingepigwa? Unataka kunambia waarabu na wahindi hawawachukii waafrica? Nani alimfunga mwafrika minyororo?
 

Wewe ndio tatizo na siyo wao na huyo jamaa angekuona na wewe angekuwasha tu risasi dadadeki!


Pumba tupu! Sasa ndo umeongea lugha gani! Hayo maisha ya watu9,ingekuwa mwarabu hapo au mwaafrika,propaganda zingekuwa kubwa sana
 
Kwa hiyo angekuwa mwislamu mweusi asingepigwa? Unataka kunambia waarabu na wahindi hawawachukii waafrica? Nani alimfunga mwafrika minyororo?

Hata angekuwa Mwislamu, Muhindu au siuji Confucius maadaamu angekuwa mwafrika mweusi angepigwa risasi tu, lakini angekuwa na Mwarabu Mwislamu Mchina na Muhindi Mhindu wasingepigwa risasi, wangewindwa weusi Tu na Mzungu!

 
GAIDI ZUNGU LA KIKRISTO...
Wakiristo wabongo kwa kujipendekeza kwa wazungu...
Wazungu wanaona nyinyi Sokwe na Nyani tu...
Huku sasa hivi wanapongezana wameua Sokwe tisa
 
Pumba tupu! Sasa ndo umeongea lugha gani! Hayo maisha ya watu9,ingekuwa mwarabu hapo au mwaafrika,propaganda zingekuwa kubwa sana

Wenzako wanadandia daladala wewe unadandia maneno!
 
Elungata
Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wanamsaka mtu mwenye silaha alihusika katika shambulio katika Kanisa la Methodist lililo katika eneo la Charleston.
Habari ambazo bado hazijathibitishwa kutoka vyombo vya habari vya eneo hilo zinasema kumekuwepo na vifo kadha.
Polisi huko Charleston wanasema mtuhumiwa ni mzungu mmoja akiwa katika umri wa miaka ya ishirini.
Shambulio hilo limefanyika katika Kanisa la Emanuel African Methodist Episcopal Church, moja ya makanisa kongwe ya Waafrika Wamarekani nchini Marekani.

Muuwaji huyo angelikua muislamu angeshaitwa Gaidi. Lakini kwa vile si muislamu wala si Muarabu basi anaitwa muuwaji wa chuki.:angry:
 
ingetokea africa ingesemwa sababu ya ignorance na uncivilized
 
Hata angekuwa Mwislamu, Muhindu au siuji Confucius maadaamu angekuwa mwafrika mweusi angepigwa risasi tu, lakini angekuwa na Mwarabu Mwislamu Mchina na Muhindi Mhindu wasingepigwa risasi, wangewindwa weusi Tu na Mzungu!


Nakupata unachomaanisha, lakini ki ukweli, ngozi ya mwafrika haipendwi na yeyote yule, hata mwafrica mwenzie. Waarabu ndo walitugeuza ng'ombe, wakatuchapa alama kama ng'ombe. sioni uafadhali kati mwarabu, mhindi mzungu na mwafrika inapokuja issue ya mwafrika. Ni mwafrika huyu huyu alimsaidia mwarabu kuwafunga waafrica wenzie na kuwafanya bidhaa kwa ujira wa shanga..
Unafikiri kwa nini mabinti wanajichubua?
 
Duuuuh!! Eee Mungu turehemu, binadamu hata wanyama wanatushangaa kwakweli.
 
huyo ni gaidi tu sema utaifa ndo unambeba na kuonekana sio gaidi
 
Ivi c wa2 weusi 2namatatizo gani vichwani mwe2?unakuta m2 hata kwa swala hili bado analeta ushaki wa uarabu na uzungu hayupotayali kuumia kwa roho za weusi wenzake ye ni ushabiki 2 wa didi.sasa uyo ni mkristo na kauwa wakristo wenzake tatizo weusi lakini bado 2 ji2 linaingiza udini kwenye ishu km hii.yani mila za wa2 zina2buluza kiasi iki kweli?
 
Mkuu Barbarosa unapenda vibaya. Unataka kutuaminisha kwamba muarabu ni mtu mzuri sana kwa sababu mzungu kaua waafrika tisa?

mi nazani we udini ndo unakusumbuwa nilivyo muelewa mimi anachomaanisha hata ingekuwa kwenye mtumbwi wamepanda wa2 wa3 yani mzungu mwalabu na m2mweusi naikaonekana uzito umezidi mzungu na mwalabu watakamata nyani mwesi watatupilia baharini sababu hana maana alafu wao kwa wao wataendelea na bif lao la udini wakiwa wenyewe kwenye mtumbwi.
 
Last edited by a moderator:
Hili tukio linatufundisha kila dini kila kabila kila taifa lina watu makatili na wauwaji.
Hakuna sababu ya kushutumu watu wa dini fulani au kabila fulani hata taifa fulani kuwa ndio makatili na wauwaji.
Tuache kuhukumu uhalifu wa mtu mmoja mmoja kwa kuangalia dini au kabila lake.
Ndio tujue kama uhalifu hauna dini wala kabila.
Hata hapa kwetu wauwaji wapo na wahalifu wapo tena wabaya washenzi zaidi kiasi cha kukata viungo vya binaadamu akiwa hai mbele ya mama na baba yake.
 
FarePlay

As long as Africans continue to believe this words , we will perish. Christianity was the worst thing to happen to Africans, sababu tutaonewa na kuendelea kugeuza shavu eti tutazawadiwa Baada ya kufa. Huku wengine wanafaidika wakiwa hai. Hao hao walioleta hilo neno hawageuzi shavu, kwanini sisi tunaendekeza huu ujinga.
 
Last edited by a moderator:
Mnalalamika kwani huko marekani ni kwetu kwetu Afrika if this happened here @ home i would feel bad for my self
 
Back
Top Bottom