wilber historic
Member
- Sep 28, 2016
- 29
- 12
Hawa wana mpango gan na sisi maaana hata first round hawajotoa ...naakati tayar vyuo vngine vshatoa first na second round.....sa cjui watatoa lini ......?? Na mda hautaki kuelewa kabisa ....unaenda tuu..
mtu anajuaje sasa manake profile inaandika tu umepata hawasemi wapi, yale yaliovujaa jumapili ile huenda yasiwe halisi sana manake kuna watu siku niliwachekia hawakuwa wamepata ila selection ya udsm wamo,[/QUOTE]mtu anaOTE="kat.ph, post: 17933454, member: 189627"]First round si zimetoka kwenye profile zenu TCU ama?
Kama haupo first round subiri 2nd round.
Kwa waliochaguliwa 1st round chuo 31st October 2016
Tatizo mda hautaki kuelewa time inaenda tu cku znakata.....Kuwa na subira watatoa mkuu
Sasa wakitoa majina utaenda kuripoti chuo bila wao kukupa go on, au? Mzumbe tofauti na vyuo vingine kuna semister wanaiita staggered. Hivyo, kwa sasa kuna wanafunzi wapo chuo na wanaanza pepa jtatu. Na hawa ndio wanaochelewesha mamboTatizo mda hautaki kuelewa time inaenda tu cku znakata.....
Uliomba kozi gani....!Tatizo mda hautaki kuelewa time inaenda tu cku znakata.....
Bch of health system management ya mwisho katika priority zangu ila selection results zilivo vuja ile jpili nakaona ndo nliokua selected na mn citaki .......nataka km ikitoka hyo nianze process za kubadilisha...Uliomba kozi gani....!
Bch of health system management ya mwisho katika priority zangu ila selection results zilivo vuja ile jpili nakaona ndo nliokua selected na mn citaki .......nataka km ikitoka hyo nianze process za kubadilisha...
Kama hujafika subir ufike ndo ujue ile kata au ndooMiongoni mwa vilivyokuwa vyuo bora Mzumbe was among daaah lkn baada ya kudahili excessively sasa hivi kimekuwa chuo cha zaid ya kata sijajua wanafundishwaje kwani kuna semista nzima ya kwenda field halafu ni mwaka mmoja tuu sasa sijui hii imekaaaje?
Au sio ......Kama hujafika subir ufike ndo ujue ile kata au ndoo