Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Nadhani mnaangalia Mzumbe tuu. Vyuo vyote Tanzania ni scum yaani i don't care utasema Mzumbe, UDSM, St. Agustino sijui Nyegezi. Sababu hakuna wakufunzi wa kutosha nchini Tanzania hivyo madhara yake ni kuwa na walimu wasio na vigezo.
IFM kuna baadhi ya washikaji zangu wanafundisha wakati wenyewe wana degree moja. Sasa najiuliza how is it posible mtu mwenye BS au BA akafundisha? I understand kama akiwa TA wakati anasoma PhD then anaweza kufundisha, lakini sio pimbi tuu eti kisa ana GPA 4.8 then anaqualify kufundisha. GPA is not a benchmark ya kuwa mkufunzi.
Kisha wao ndio wakwanza kukwambia aaah umesoma degree zako zote USA ooohh hizo ni feki degree.
That is a mess
IFM kuna baadhi ya washikaji zangu wanafundisha wakati wenyewe wana degree moja. Sasa najiuliza how is it posible mtu mwenye BS au BA akafundisha? I understand kama akiwa TA wakati anasoma PhD then anaweza kufundisha, lakini sio pimbi tuu eti kisa ana GPA 4.8 then anaqualify kufundisha. GPA is not a benchmark ya kuwa mkufunzi.
Kisha wao ndio wakwanza kukwambia aaah umesoma degree zako zote USA ooohh hizo ni feki degree.
That is a mess