Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Ndio maana hata Research hawafanyi, wamekalia kuwadisco watoto wa watu tuu. Hivyi vyuo hata WebCT havina yaani huwezi hata kuprove grade za mwanafunzi. what a mess
Kingine ni AIU [American Intercontinental University] chuo kama sebule yetu pale tabata. Nashangaa ukiingia Ebsco kutafuta publication za Tanzania utashangaa waandishi wengi ni Wazungu, sasa najiulizaga huu uyoga wa vyuo una kazi gani??
Sasa kisha mnalalamika credebility za wanafunzi. Bungeni sasa ndio kumejaa hizo degree za London school of commerce. Yaani it's a mess. Na watoto wao wemekuja huku wamekwenda AIU na kuchukua hizo hizo degree feki kama baba zao, na sasa ndio ma Marketing tycoon huko sijui Voda, tigo and zain ndio maana nashangaa baadhi ya strategy zinazokuwa implimented zinanifanya nijiulize who craft that peace of non sense. Mungu ibariki Tanzania
Kingine ni AIU [American Intercontinental University] chuo kama sebule yetu pale tabata. Nashangaa ukiingia Ebsco kutafuta publication za Tanzania utashangaa waandishi wengi ni Wazungu, sasa najiulizaga huu uyoga wa vyuo una kazi gani??
Sasa kisha mnalalamika credebility za wanafunzi. Bungeni sasa ndio kumejaa hizo degree za London school of commerce. Yaani it's a mess. Na watoto wao wemekuja huku wamekwenda AIU na kuchukua hizo hizo degree feki kama baba zao, na sasa ndio ma Marketing tycoon huko sijui Voda, tigo and zain ndio maana nashangaa baadhi ya strategy zinazokuwa implimented zinanifanya nijiulize who craft that peace of non sense. Mungu ibariki Tanzania