R Rebel volcano JF-Expert Member Jun 1, 2012 403 86 Oct 1, 2012 #1 hapo yani tembo jike kalitamanisha dume mpaka likapandwa na mzuka wakati wa kazi!! Attachments 598938_285840874859567_1701218960_n.jpg 57.3 KB · Views: 685
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Oct 1, 2012 #3 Mh hizii hisia za ajabu kweli Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Lateni JF-Expert Member Jun 11, 2012 676 334 Oct 1, 2012 #4 kaaa umenichekesha, hao watu waliokaa nyuma lazima wapige chini,
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Oct 1, 2012 #6 hahaa kweli hiyo kitu haina simile tembo mzux umempanda kasahau km ana abiria. Dah tunda noma jamani
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,440 25,582 Oct 1, 2012 #7 Hao jamaa lazima wabinuke aisee..
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Oct 2, 2012 #8 kit kit kit kit pyaah goli, tembo kashindwa kuvumilia.
hekimatele JF-Expert Member May 31, 2011 9,884 2,781 Oct 2, 2012 #9 Khaaaaaaa Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Oct 2, 2012 #12 Inabidi hapo tembo dume ndo atangulie mbele, naona anavyotembea anaona mashine mbele yake ndo maana anashindwa kuvumilia
Inabidi hapo tembo dume ndo atangulie mbele, naona anavyotembea anaona mashine mbele yake ndo maana anashindwa kuvumilia
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Oct 2, 2012 #13 Hata maofisini hizi zipo.....Kazi na dawa.
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Oct 2, 2012 #15 kazi na dawa hii ipo sehemu nyingi sana!!:spy:
Dotworld JF-Expert Member Aug 10, 2011 4,035 3,773 Oct 2, 2012 #16 Facilitator said: Wanafanyaje kwani?? Click to expand... Facilitator