kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,096
Sasa unalia nini!Siasa ni maisha unayoishi binaadamu yeyoye siasa inaweza amua ukaishi kama digi digi siasa inaweza amua ukaishi kama upo peponi unataiacha siasa siku utakapo ingia kaburini mtu unaposema wewe sio mwanasiasa wakati siasa hizo hizo ndio zinakuendeshea mfumo wako wa maisha kila siku huwa nakushangaa sana nikuweke kwenye kundi gani kilazaaa au mbulula