Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,282
- 14,107
Yanga Mpumzisheni Chama.
Wala hana habari ya mlinganisho wenu kwa kila mchezaji wenu.
Wala hana habari ya mlinganisho wenu kwa kila mchezaji wenu.
Pacome ni noumaaa narobotatu weeeeh
Ni timu gani inamtaka pacome? Kama mliweza msajili nungunungu ni nani hamtaweza msajili?Chama uarabuni kulimshinda
Yanga 5 Simba 1Mechi ngumu ipi aliyotisha huyo pacome?
Yanga 5 simba 1Ni timu gani inamtaka pacome? Kama mliweza msajili nungunungu ni nani hamtaweza msajili?
Kama Chama ana class kwanini hakuna timu yeyote ile inayomuhitaji? Katoka Berkane karudi Simba na hapandi daraja ya kutakiwa na timu nyingine za daraja la juu?
Kwasasa kila mwana Yanga anaingia mashaka, huenda Pacome akakosekana msimu ujao. Na hili nakuhakikishia Pacome akiendelea na performance yake hiyo hiyo hatobakia Yanga msimu ujao ila Chama utasikia tetesi zake za kutakiwa na Yanga pekee basi.
Messi akiwa Barca ile ya akina Iniesta ,timu gani ilituma ofa kumsajili?Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.
Hata SIMBA 4Yanga 1 chama alitishaYanga 5 Simba 1
Yanga 5 simba 1Hata SIMBA 4Yanga 1 chama alitisha
MadridMessi akiwa Barca ile ya akina Iniesta ,timu gani ilituma ofa kumsajili?
Taja timu iliyomhitaji Messi mwaka 2009-2014 na kitita walichoweka mezani usilete blahblahMessi kaishacheza timu tatu mpaka sasa. Hata alipokuwa anachezea Barcelona ndiye alikuwa mchezaji ghali zaidi kumsajili. Na timu nyingi sana zilikuwa zinamuhitaji. Sasa mara mwisho kusikia tetesi ya Chama kuhitajika ni lini? Ukisikia tetesi basi anahusishwa na Yanga pekee na sio kuhusishwa na vigogo vya soka Africa.
Leta ushahidiMadrid
Katafute namba za chama akiwa Berkane kabla huandika pumba hapa 🚮Mchezaji wa mechi ndogo ambaye uarabuni kulimshinda
Hayo makubwa kafanya akiwa na timu gani?Pakome umri unamruhusu anaweza kwenda timu nyingine na Hata kubakia Yanga na kufanya makubwa zaid ya chama, Chama ana miaka zaid ya 30 inawezekana Hata asifanye vzr kama mwanzo ila kashafanya makubwa mwa muda mrefu ila Kwa Pakome miez hii 8 tu aliyochezea Yanga haitoshi kumuweka daraja Moja na chama Bado ana safari ndefu sana. Otherwise chama atabakia kuwa mchezaji Bora wa muda wote kwenye ligi kuu ya tz
Hatukarai Pakome kuweza kuhitajika zaid sokoni sababu ya umri wake. Tunachosema Ili afananishwe na chama acheze Kwa ubora Huu Kwa miaka zaid ya mitano. Ni kama kama Halland au mbape kufananishwa na Mess Au Ronaldo. Sio kwamba wabovu ila wanahitaji kuprove Kwa kuonyesha kiwango Chao Kwa muda mrefu kufikia daraja la kina Ronaldo.Hawa wachezaji wote muhimu kwenye timu zao, Pacome kaisadia timu yake kumfunga Simba 5 Chama akiwa uwanjani na pia kufuzu robo CCL
Chama kaisaidia Simba kushinda 6 kwa Jwaneng Pacome hakuwepo na kufuzu robo CCL.
Hata timu zao zilipokutana misimu ya nyuma Simba alishinda 2 Dar akaenda kupigwa 3 ugenini kinara akiwa Aziz K.
Sina kumbukumbu kama Chama ni MVP kwenye ligi yetu au alipokuwa kwao Zambia, wenye takwimu mtusaidie, ila Pacome kaja akiwa MVP huko kwao na kwa performance yake kwenye ligi sitashangaa akiwa MVP wa msimu huu.
Kila mmoja ni mzuri kwa nafasi yake na kama mnataka kujua thamani zao wawekeni sokoni leo wataalamu watawasadia kuwaambia nani ana thamani kubwa kwasasa.
Kama namba zake zilikua bora berkane kwanini kulimshinda na wakamuuzaKatafute namba za chama akiwa Berkane kabla huandika pumba hapa 🚮
Nyinyi makolo ndo mnamfananisha kibabu Chama na Pacome.sahivi mko kwa pacome. Hadi mtafika kwa Diarra.
Hii misimu miwili yanga anachukua kombe la nbc chama kaonyesha ubora ganiHatukarai Pakome kuweza kuhitajika zaid sokoni sababu ya umri wake. Tunachosema Ili afananishwe na chama acheze Kwa ubora Huu Kwa miaka zaid ya mitano. Ni kama kama Halland au mbape kufananishwa na Mess Au Ronaldo. Sio kwamba wabovu ila wanahitaji kuprove Kwa kuonyesha kiwango Chao Kwa muda mrefu kufikia daraja la kina Ronaldo.
Ulisoma ukaelewa au umekimbilia ku comment? Nimekwambia mashindano haya ya klabu bingwa yakiisha sio ajabu kuona Pacome akiwaniwa na vilabu mbalimbali huku Chama ikawa kama kawaida yake, hakuna timu yenye aja nae.Embu nitajie timu zinazomuhitaji pacome, nyie yanga kama mliweza kumchukua nungunungu ndio mtakuwa hamumtaki chama kweli?
Na wakati Simba anachukua kombe mfululizo mara tatu hukuona chochote?Hii misimu miwili yanga anachukua kombe la nbc chama kaonyesha ubora gani
Kwa hiyo unatembea kwa hisia?Ulisoma ukaelewa au umekimbilia ku comment? Nimekwambia mashindano haya ya klabu bingwa yakiisha sio ajabu kuona Pacome akiwaniwa na vilabu mbalimbali huku Chama ikawa kama kawaida yake, hakuna timu yenye aja nae.