Mzize, ongeza bidii kujifunza

Uliwahi kucheza mpira au unaongea kama mwijaku? Unadhani kufuga goli ni kitu rahisi? unaposema last season angeongoza kwa ufungaji una mlinganisha na nani?
 
Hao Morocco unao wasifu walifungwa na Kenya wakiwa pungufu Osama hakuwemo? ile Barcelona ya Messi, Ronaldho, Xavi na Iniesta ilikua ina shida kila siku? hakuna mechi wametoka 0-0?
 
Mzize,mwanangu hebu fanya yafuatayo:
1.Chakula:
Usile nyama nyekundu kabisa,kula kuku,samaki,nyama ya mamba na usitumie mafuta ya kupikia yatokanayo na nyama,tumia mafuta yatokanayo na mimea.Tafuta nutritionist akusaidie kupanga chakula
2.Mazoezi binafsi tafuta mtu wa kujenga uimara wa mwili na kocha wa mbinu za ufungaji magoli
3.Jitahidi sana kupumzika sana na usijiingize kwenye mambo ambayo ni hatari kwa afya yako
4.Jitahidi kujifunza kutoka kwa mastrikers wengine wa duniani
5.Tafuta ajenti bora kabisa akusimamie masuala yako
 
Hao Morocco unao wasifu walifungwa na Kenya wakiwa pungufu Osama hakuwemo? ile Barcelona ya Messi, Ronaldho, Xavi na Iniesta ilikua ina shida kila siku? hakuna mechi wametoka 0-0?
ndio walifungwa,ndio osama alikuwemo,lakini unamjua kocha wa kenya? unajua ubingwa wa kocha wa kenya?kocha wa kenya amefundisha Man U, kenya hawana wachezaji wazuri kama wa tanzania,lakini wana kocha bora sana na mwenye mbinu,aliwapanga wachezaji wake kimbinu ili kuwafunga morocco.kocha wa namna hiyo sisi hatuna ndio maana osama aliibuka kimbinu na kutufunga
 
Mzize Ali ikwamisha sana TAIFA stars baada ya kukosa nafasi za wazii waziii unajua mtu kama mayele hakukosi palee..

Geek OOO....Getegeteeee yeye aende kuchukua mpunga wa warabu then arudi zake Simba au yanga again usitegemee makubwa yeyote kwa mtu wa umriii wa mzize kwenye soka la ushindanii
 
Unajichosha tu

Kaanza kucheza mpira ukubwani kubadilika labda afikishe miaka30 kama akina kapombe ambae anaimprove kiwango chake huku umri unamtupa mkono......
 
Soccer Academy bila walimu wabobevu wa vijana ni yaleyale.
Una Academy halafu kocha wake ni Bakari Shime au Julio unakuwa umefanya nini.

Kocha mwenyewe hata footwork ya kupga danadana 5 hawezi,
atakupa nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…