Mzimu unaotabasamu

...nimekua mtumwa na hii Hadithi yako tafadhali ukiendelea Nitag #Madame S...ninashahuku sana yakujua zile no.zakwenye Maua David alimaanisha nini?..Nitag Mkuu!
 
Karibu kwenye arosto honestly hii hadithi hupostiwa once per week ndio mana unaona inakua hivontakutag nikiweka ondo shaka
...nimekua mtumwa na hii Hadithi yako tafadhali ukiendelea Nitag #Madame S...ninashahuku sana yakujua zile no.zakwenye Maua David alimaanisha nini?..Nitag Mkuu!
 
Tangazo:

Nyemo ameacha kazi global publishers, ameacha na kutoa kazi za shigongo nahisi kuna mtafaruku btn shigongo na yeye nahisi sina uhakika,ametoa hili tangazojuzi kwenye page yake baada ya watukumzogoma kuhusu hii hadithi kusitishwa na had leo hajapost.
 
Huyo Nyemo ni mtu wa mavurugu sana kuna kipindi waandishi wenzake walimzilia page kule FB ilikuwa ina followers kama laki hivi.Let's hope this time tatizo sio yeye!
 
Dah!mzimu ndo basi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…