Hahahaahaa nimeishia kucheka tu 😂 😂 😂 😂Kwa upande wa Mzee Yusuph licha ya kufanana na mtoto huyo kuanzia Mapua, Mdomo, Mashavu, kichwa mpaka rangi ya meno na ngozi.
Anataka kiki dogo huyu ushakatiliwa ya Nini Sasa kumtafuta angekua sio staa jeAu kashaona mzee ana pesa ya kutosha !!
Yuko sahihi mtoto Wa nje ni wama baba aanafanya hisani tu kuhudumia na Wala harithi kabisa
Halafu Mzee sio tajiri jamani kwa Sasa ana Hali ya kawaida kiuchumi
Jamaa anajitia amejizima data kabisaHivi Mzee haoni au ?
Hakunaga kitu kama hicho kwenye uislamu kwanza hakunaga kitu kinaitwa mtoto wa nje ya ndoa kwenye uislamu .aidha Yusuph ameongeza kuwa kama akikuta mtoto huyo ni damu yake atamfikilia kama aendelee kumlea au aachane naye kwani dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo dogo ana baba wawili nusu bao la mzee nusu bao la mbabeHuyu mtoto pia anafanana Sana na Dula mbabe bondia..
Mtu awke picha ya Dulla mbabe hapa
Kupima DNA hapo ni kupoteza tu muda na fedha. Mzee Yusuph aache mbambamba. Huyu mtoto ni damu yake.
ILA kama mwanamke na husiana na kwakipnd kirefu nitamwambia sitak kuzaa kwa sasa ilitokea emergency tutao fully stop .Makubaliano yapi? Yaani wewe, umekutana na mwanamke, umepiga kazi, umemwagia ndani kwa hiari yako...tena hukuuliza hata kama yuko kwenye tarehe mbaya au la..sasa unataka makubaliano gani zaidi ya hayo.
Mkuu ni sahihi kama hakuna maelewano ya kuzaa iwe hivyo , kila jambo ambalo litaonekan kwa mwanamke kama ni baya sisi wanaume tunabebeshwa mzgo utazan hawa wanawake wao hawan ubungo/akili angalia ata mazingra ya story yaan umekutana na mwanamke kwenye mzk bar au safr amekupa mechi alafu kashindw kujua kuw atapata mimba akailea mimba lawama kwetuWapuuzi sana hawa wanawake. Yaani hawanaga ufikirio kabisa. Ah mie naona mwanamke anayebeba mimba bila ndoa tuchinje tuu
Point tupuMkuu ni sahihi kama hakuna maelewano ya kuzaa iwe hivyo , kila jambo ambalo litaonekan kwa mwanamke kama ni baya sisi wanaume tunabebeshwa mzgo utazan hawa wanawake wao hawan ubungo/akili angalia ata mazingra ya story yaan umekutana na mwanamke kwenye mzk bar au safr amekupa mechi alafu kashindw kujua kuw atapata mimba akailea mimba lawama kwetu
Uombe mzgo
Ulipe lodge
Ulipe bill za vyakul na mengin ya cku hyo
Umpe nauli
Currently kwa uchumi WA SASA utatumia 70,000 had 100,000 kwa masaa chin ya 17 . Alafu ashindwe kukwambia tumia mpira atapata mimba au njia nyingne ,
Sambamba wanaume ni KAZI kbsa mkuu /kuna wimbo unaitwa To be a man ukiusilza ule wimbo unawez muacha mkeo .