nasaluka
Senior Member
- Jun 20, 2015
- 149
- 184
Bila shaka kesho(12/1/2017) ndio ile siku ambayo serikali halali ya Zanzibar ilipinduliwa na kuingia mikononi mwa wanyang'anyi na hiyo shughuli ambayo inasadikiwa uligharimu maisha ya watu wasiopungua elfu tano(5000) kati ya watu wasiozid elfu hamsini(50000), ilianza mida hii ya maghribi na ilidumu kwa siku zisizipungua miezi miwili.
Inasemekana shughuli hii ilisimamiwa na yule anaejulikana kama mungu wa Afrika .
Mzee wetu tunataka taarifa zaidi juu ya tukio hili la kuhistoria na tunataka toka kwako maana kwa sasa umekuwa ukiaminika sana katika uga huu wa historia ingawa wengi wao ni ngumu kukiri hili.
Ni matumaini yangu kwamba utandaa kitu katika hili
Ahsante.
Inasemekana shughuli hii ilisimamiwa na yule anaejulikana kama mungu wa Afrika .
Mzee wetu tunataka taarifa zaidi juu ya tukio hili la kuhistoria na tunataka toka kwako maana kwa sasa umekuwa ukiaminika sana katika uga huu wa historia ingawa wengi wao ni ngumu kukiri hili.
Ni matumaini yangu kwamba utandaa kitu katika hili
Ahsante.