Mzee Wassira shule yako dawa tosha!

Mzee Wassira shule yako dawa tosha!

Honey K

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2008
Posts
629
Reaction score
72
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013.

Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!

Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....
 
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013. Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!
Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....

Nape nasikitika kwa cheo chako hiki ndicho unachoweza kuandika, inasikitisha and it also show how not serious you are.Please stay away kwenye hii mitandao ya jamii nafikiri una namna bora ya kutoa maoni yako than what you have just done.Kama mwana CCM inanisikitisha
 
Huna jipya Nape! Wenzio wanakutumia kukuua kisiasa. Jiulize yuko wap makamba.
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013. Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!
Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....
 
Huna jipya Nape! Wenzio wanakutumia kukuua kisiasa. Jiulize yuko wap makamba.

Ningekuwa nakufa kisiasa msingesema, mngenyamaza kimya nife vizuri...... Nikifa nakufa mimi kulikoni kikuume wewe?!!!!!
 
Nape nasikitika kwa cheo chako hiki ndicho unachoweza kuandika, inasikitisha and it also show how not serious you are.Please stay away kwenye hii mitandao ya jamii nafikiri una namna bora ya kutoa maoni yako than what you have just done.Kama mwana CCM inanisikitisha

Kinachokusikitisha ni nini?, ka sio nafiki?!!!!!
 
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013. Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!
Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....


...It is so Sad kuona Vijana ambao tulitegemea ndio wawe Chachu ya Kuzaliwa Upya kwa Taifa letu ndio Kwanzaa wao wanavaa magamba ya Ukale...! Sooo, so Sad!
 
Ningekuwa nakufa kisiasa msingesema, mngenyamaza kimya nife vizuri...... Nikifa nakufa mimi kulikoni kikuume wewe?!!!!!

Nape kwa hesham zote ningependa nikusihi kwa moyo wa dhati kabisa utuepushe na balaa la siasa zinazotugawa wananchi. Madhara ya siasa hizi ni kuleta vurugu ndani ya familia zetu na hili historia haitakusemehe. Mara nyingi mtu anayesikiliza huwa anakumbuka zaidi kuliko yule aliyoongea, na hapa nataka nikuambie, jitahidi uachane na siasa za kugawa wanafamilia ndani ya nchi. Kauli zako zinastua sana hasa kwa mtu wa umri wako maana umezaliwa na wakati watanzania wa dini, kabila tofauti wameoana, wamekuwa kitu kimoja. Sasa umetoa wapi siasa hizi?

Hata kama mtu mwingine anafanya, wewe kwa nafsi yako unalo jukumu la kukataa lakini kwa mshangao wewe umeamua kuungana na upande huo hatari. Ningependa kuona unabadilisha tabia ya kuongea siasa za kugawa wananchi na badala yake ongea mambo ya kutupeleka mbele.
 
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013. Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!
Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....
Nnauye Jr hapo kwenye nyekundu ndipo ulipojiharibia ujumbe unaokusudia kuufikisha.
Kama kiongozi mkubwa ndani ya chama chako ni lazima ujiamini. Kutukanwa, kudhihakiwa, kubezwa na kusifiwa ni vitu ambavyo havikwepeki kwa mwanasiasa yeyote.

Sasa unapoonyesha uwoga kiasi hicho unawanyong'onyeza wafuasi wako binafsi pamoja na wafuasi wa chama chako. Mimi sio mfuasi wa chama chako lakini sipendi tabia ya uoga uoga kama hii unayoonyesha hapa. Otherwise utakuwa huna uhakika na unachokiwakilisha hapa kwahiyo unaamini kwamba utatukanwa kwakuwa umeleta habari ya uongo.
 
Last edited by a moderator:
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013. Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!
Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....

Ukae ukielewa muungano upo rehani,maneno ya kwenye kanga hapa si pahala pake.Ugumu wa maisha tz umesababishwa na watu kama nyie wenye kujali matumbo yao nyongeza watu dhaifu kama nyie.Upuuzi mtupu hakuna aloongea huyo mwenye njaa mwenzako steven, zaidi ya kufurahia taifa la ombaomba. Lakini yana mwisho nyie wazembe kuujua ukweli.
 
I am very sorry about you Nape!

But I am sure time will tell and you will remember your words and regret. You should understand this is world and one day you will leave it and go somewhere which you will never or see all these problems we are facing now and then! But you will be asked by the one what did you do when I selected you to present all Tanzanians?

No one will die and go to the heaven with these money, good clothes, good house whichever! For this short time we have been given by our ALMIGHT GOD to live in this world with a lot problems (especially Tanzania) try to do the best you can for all WANYONGE Nape. I am telling there are a lot of people who are suffering because of your leadership, especially women and small children.

One day you will pay back all! How and when don't ask BUT GOD is watching you believe me or not. This is a massage for you especially for this weekend, stay somewhere and ask your self I am doing all these and then what?
 
Nani kawaambia huyu ni nape mumjuae?mnachotwa akili tu hapa.
 
Ukiacha ubishi usiokuwa na mashiko na ubishi wa jadi, Mzee Wassira leo bungeni umetoa shule yenye mashiko! Hongera sana! Umedhihirisha ng'ombe hazeeki maini na kuwa utu uzima dawa!! Hoja za mlinganisho wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013. Hoja za mahusiano ya bajeti na Ilani ya uchaguzi ya CCM. Hakika umetoa shule ya kutosha, asiyetaka acha asitake milele lakini shule umetoa!!

Ambao hawakumwangalia Wassira soon ntaweka mkanda wa speech yake! Lakini mnaotaka kutukana pia mnakaribishwa maana mko wengi, nitukaneni mimi lakini msimuhusishe mwingine....
Mkuu Nape, heshima kwako. Mwalimu mzuri ni yule anayefanikisha kubadili uwezo wa kufikiri kwa walengwa wake na sio anaye wafanya walengwa wa mchukie kwa kuwa anachokieleza ni cha uongo na kipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya baadhi ya watu. Moyoni mwako mwenyewe unajua fika kuwa bajeti hii haitekelezeki kabisa.

Pitia hata idara chache tu za serikali uone kama fedha iliyopangwa kwenye idara hizo mwaka unaoisha ilifika? Mnawalaumu watumishi ati wanasoma tu magazeti ofisini, watafanya kazi zipi bila vitendea kazi? Mahakama za mwanzo hazina karatasi, magari mengi yamekwama kwa kukosa matengenezo........., ukiuliza utaambiwa fedha ya bajeti haikupelekwa.

Ajabu unamsifia mzee wako aliyetumia muda mwingi kuimba nyimbo zilezile za kubembelezea watoto walale usingizi! poleni sana watanzania wenzangu.
 
Ningekuwa nakufa kisiasa msingesema, mngenyamaza kimya nife vizuri...... Nikifa nakufa mimi kulikoni kikuume wewe?!!!!!
Lakini kwanini vijana wasomi kama wewe msituokoe sisi masikini, taifa letu? Njaa zenu, na tamaa mlizonazo na sifa mnazotaka kwa nguvu ndo zinatupa wasiwasi sisi vijana. Kinachotuuma zaidi sisi ambao hatuko kwenye sisitimu tutaendelea kuwa masikini zaidi na watoto wetu watarithi umasikini wetu maana kile tunachojaribu kuserve mnatunyang'anya.

Ccm imishakuwa taasisi ya wenye nacho na wenye uroho hata wa kuua ili wapate, kijana kama wewe unatumiwa, na unajua kabisa, ila njaa zako zinakufanya unashabikia kila kitu . Hivi kwa akili yako unajua wasira ana miaka mingapi bungeni? Ameifanyia nini bunda? Tanzania?......

Acha kushabikia ujinga kama huu,welevu tunakuona kama huna akili kabisa.
 
Nape has said, INAWAUMA NINI KULIPA ATALIPA YEYE, KIFO CHA KISIASA ATAKUFA YEYE KINAKUWASHIA NINI?!!!!
I am very sorry about you Nape!

But I am sure time will tell and you will remember your words and regret. You should understand this is world and one day you will leave it and go somewhere which you will never or see all these problems we are facing now and then! But you will be asked by the one what did you do when I selected you to present all Tanzanians?

No one will die and go to the heaven with these money, good clothes, good house whichever! For this short time we have been given by our ALMIGHT GOD to live in this world with a lot problems (especially Tanzania) try to do the best you can for all WANYONGE Nape. I am telling there are a lot of people who are suffering because of your leadership, especially women and small children.

One day you will pay back all! How and when don't ask BUT GOD is watching you believe me or not. This is a massage for you especially for this weekend, stay somewhere and ask your self I am doing all these and then what?
 
Silly session, silly party, silly propaganda.....is that coincident?
Chama dhaifu, Serikali legelege, Rais dhaifu..........is that tusi?

Any way Nape, you're at work here and now while most of us are not! You're trying to justify your fat pocket while we're only patriotic, vigillant and unmoved citizens standing for the good of Tz. In short our contrasts are irreconcilable and therefore knows no end.
 
Back
Top Bottom