Mzee Warioba aanguka ghafla Serena Hotel; yadaiwa ni uchovu; ni mzima

Hawa wazee hawataki kupumzika
kila siku wapo barabarani na utu uzima wao
wangeziweza hizo kazi TZ isingekuwa na hali
hii ngumu ya uchumi na maisha kuwa magumu kama ilivyo sasa
kwanini wasiwaachie vijana hizi kazi
 
Plz n00b. That is alarming. Habari kubwa sana huanza na tetesi. Unatufanya tununue uwezo wa ziada wa kukuvumilia mpaka utakapoamua kuzisema hizo tetesi zako za sababu ya kuanguka ghafla kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba Mpya, Makamu wa Kwanza Mstaafu, Waziri Mkuu Mstaafu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mstaafu na Jaji wa Mahakama Kuu Mstaafu.

Tunasubiri kwa hamu sana tambu hilo na ukumbuke kuwa ni deni hapa.

Mkuu, sheria ya pensheni imekaaje ktk hili la mzee walioba kustaafu mara kadha? Anapata pensheni ya kila kazi moja moja au? Dr. Salim je? AU, Waziri Mkuu etc.
 
Mzee Warioba alipotangazwa kuwa mwenyekiti wa hii tume ya katibu watu walimpa hongera na hakuna aliyeuliza umri wala afya yake. Leo tunaambiwa kaanguka mara ghafla tunamuona mzee! tunataka apumzike! nabaki kucheka tu.
Watu wanasahau Baba Ritz1 ameanguka marafiki ngapi jukwaani na bado (japo me ckumpa kura) ni rais, nakubali ni mzee tayari but busara yake may b we need so ni kawaida Hata kijana njaa tu inaweza kupeleka down Mbona masoldier wanaanguka marafiki kibaaaao tena event mhim
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hawa wazee wetu wametumikia nchi hii kwa miaka mingi nadhani ni vyema wakapumzika. Kuna vijana wengi tu wanaweza kufanya hizi kazi.
 
Hawa wazee wa MNF( akiwemo SAS na JB) Rais wetu aliwateua kwa ajili kelele zao na ukosoaji wao wa mara kwa mara kwa namna JMK anavyoendesha serikali. Nilisema zamani kuwa jukumu hili halikuwastahili wao kwa sababu zifuatazo:
-Wote afya zao mgogoro;
-Katiba hii mpya haitawafaa wao kwa umri waliomo;
-Utumishi wao kwa nchi hii umetosha. Wangepumzika tu.
Lakini nimeambiwa kazi hii ya tume inalipa sana. Kwa njaa zao zisizo na kikomo wasingeweza kukataa!
 
Amechoka mzee wetu nadhani wawe wanampa kipaza sauti akiwa amekaa else tutpoteza kichwa tanzania adimu kukipata
 
07_11_48yg7b.jpg


Mzee Warioba imeripotiwa kuwa ameanguka huko Serena Hotel lakini yasemwa ni 'dizzy spell' lakini aliweza kuinuka mwenyewe na kupelekwa hospitali. Hali yake inadaiwa ni mzima na wananchi wasiwe na hofu yoyote.

Vyanzo vya kuaminika toka eneo la Serena Hotel vimethibitisha tukio hilo na kutuhakikishia kuwa mzee Warioba anaendelea vizuri na tukio zima linahusishwa na uchovu.

Wakati tunamwombea apone kwa haraka najiuliza kama anaanza kuanguka sasa hivi kwa uchovu itakuwaje safari ya kuzunguka nchi zima yenye takriban kilometa za mraba milioni moja??Madaktari wamchunguze kama hayupo fit basi atafutwe mwanazuoni mwingine ashike nafasi yake asijepata madhara makubwa zaidi safari zikianza!!
 
Wakati tunamwombea apone
kwa haraka najiuliza kama anaanza kuanguka sasa hivi kwa uchovu
itakuwaje safari ya kuzunguka nchi zima yenye takriban kilometa za mraba
milioni moja??Madaktari wamchunguze kama hayupo fit basi atafutwe
mwanazuoni mwingine ashike nafasi yake asijepata madhara makubwa zaidi
safari zikianza!!

jamani si alianguka tu? kwani alipoteza fahamu? inaweza kuwa aliteleza au kujikwaa!
 
wazee sasa nao wapumzike makwao, hivi hawajamuona mzee makamba nini???
 
07_11_48yg7b.jpg


Mzee Warioba imeripotiwa kuwa ameanguka huko Serena Hotel lakini yasemwa ni 'dizzy spell' lakini aliweza kuinuka mwenyewe na kupelekwa hospitali. Hali yake inadaiwa ni mzima na wananchi wasiwe na hofu yoyote.

Vyanzo vya kuaminika toka eneo la Serena Hotel vimethibitisha tukio hilo na kutuhakikishia kuwa mzee Warioba anaendelea vizuri na tukio zima linahusishwa na uchovu.

asante mkuu ila ungeweza kusema ni hoteli ya sarena ipi ungeonyesha njia maana serena ziko nyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom