Mzee Warioba aanguka ghafla Serena Hotel; yadaiwa ni uchovu; ni mzima

:biggrin1: yaaani acha tuu... na hivi vibabu si waviache vipumzike kwani ni lazima hizi tume ziendeshwe na vikongwe...
Hakuna mahala ambako huwa wanalazimishwa, ni tamaa zao tu ndio zinawaponza, kama kibabu kingine ni huyu Mwenyekiti wa NEC, naye anataka afe kabla siku zake.
 
Kuna haja ya kubadili sheria zetu zilizopitwa na wakati hasa ile ya kuwalipa wale waliokuwa mawaziri wakuu. Nchi yetu ni masikini sasa hawa tunawalipa hadi watakapokufa wakati wengi wao walilisaliti taifa kwa kuingia kwenye mikataba ya kuwadhulumu Watanzania. Tena wanatumiwa vibaya na waliopo madarakani kwa kutaka kujisafisha wakati wanafanya madudu. Wakati taifa linaanguka wao wanaendelea kukomba pesa za walipa kodi bila huruma .... ..... .... ...

- Unawahukumu wote kwa makosa ya wachache, ungesema wale waliotuhumiwa kuvunja Sheria tu ndio wasilipwe, I mean hizi sweeping statements sometimes zinakuwa ni overeaching!

William.
 


- I was there having a tea na Mheshimiwa Shyrose, tumepishana na Mh. Warioba mlangoni akiwa amefuatana na watu wawili, alionekana kuwa na haraka sana ya kuwahi kikao, kabla yake kulikuwa na watu ninaodhani walikuwa ni wa-Rundi waliokuwa wametangulia kule alikokuwa akielekea nahisi ndio aliokuwa anakutana nao, and then nyuma nikasikia hii, lakini FACTS kwa sasa ni mzima 100%, ingawa anapumzika!


William.[/QUOTE]

Mkuu are you dating mh Shyrose unaonekana naye sehemu nyingi! Let me believe this was a courtesy tea together ! Lol
 
Zaidi ni kuwa, Mzee (Dr.) Salim pia alikuwepo.

Member mwenzetu Omar Illyas alikuwepo nimemwona kwa mbali. Baadae Mzee Warioba aliweza kuinuka na kutembea mwenyewe kwenda kwenye gari ili awahishwe hospitali.

Yatakayojiri baadae tutafahamishana.



Hivi ana umri gani lakini huyu Warioba?
Mambo ya kuhangaika night zote ni ya nini?
Tangu enzi ya Marehemu Mwl J. K. Nyerere alikuwa madarakani mpk sasa na hata hakuna aliloweza badilisha ktk wasifu wake wa kuwepo madarakani kipindi chote hicho. Na mpk leo anang'ang'ana na uongozi ya nini?

Si aachane na mambo ya madaraka na vijana sasa na sisi tulisukume gurudumu.


Mi binafsi Warioba na hana msaada ktk Taifa letu.
Kuna kitu natamani niseme lakini naogopa (BANNED)
 
Hivi Kamati ya katiba inadaktari. Kama hapa, ateuliwe kabisa! Maana kazi hiyo inakuwa nzito
 
Mungu akujalie afya, uendelee na wajbu mkubwa ulio mbele yako wa kuiumba upya Tanzania, Mzee Warioba!!!
 
- I was there having a tea na Mheshimiwa Shyrose, tumepishana na Mh. Warioba mlangoni akiwa amefuatana na watu wawili, alionekana kuwa na haraka sana ya kuwahi kikao, kabla yake kulikuwa na watu ninaodhani walikuwa ni wa-Rundi waliokuwa wametangulia kule alikokuwa akielekea nahisi ndio aliokuwa anakutana nao, and then nyuma nikasikia hii, lakini FACTS kwa sasa ni mzima 100%, ingawa anapumzika!


William.
Wanawake ndio wana muda wa kusikiliza porojo.
Mkuu are you dating mh Shyrose unaonekana naye sehemu nyingi! Let me believe this was a courtesy tea together ! Lol[/QUOTE]
 
Ndio shida ya kuteua vizee kwenye majukumu mazito ya nchi. Mimi nashangaa sana, hawa watu walikuwepo tokea enzi za Nyerere, lakini hadi leo bado wanapenda uongozi, hawaigi mfano wa Mwalimu? Inakera sana, nafasi kama hizi wapewe watu ambao ni energetic sio hii mibabu..
 
majukumu yaliyo mbele yake ni makubwa sana, ukichanganya na uzee basi inakuwa hivyo
 
07_11_48yg7b.jpg


Mzee Warioba imeripotiwa kuwa ameanguka huko Serena Hotel lakini yasemwa ni 'dizzy spell' lakini aliweza kuinuka mwenyewe na kupelekwa hospitali. Hali yake inadaiwa ni mzima na wananchi wasiwe na hofu yoyote.

Vyanzo vya kuaminika toka eneo la Serena Hotel vimethibitisha tukio hilo na kutuhakikishia kuwa mzee Warioba anaendelea vizuri na tukio zima linahusishwa na uchovu.
Mkuu serena lodges ziko kila pembe ya afrika.je ni serena ipi hiyo tujuwe tafadhali?
 
Chama tawala ni kikwazo kubwa kwa Maendeleo ya Nchi yetu!

Eti ameanguka! Si alale kwake na wajukuu wake!
 
07_11_48yg7b.jpg


Mzee Warioba imeripotiwa kuwa ameanguka huko Serena Hotel lakini yasemwa ni 'dizzy spell' lakini aliweza kuinuka mwenyewe na kupelekwa hospitali. Hali yake inadaiwa ni mzima na wananchi wasiwe na hofu yoyote.

Vyanzo vya kuaminika toka eneo la Serena Hotel vimethibitisha tukio hilo na kutuhakikishia kuwa mzee Warioba anaendelea vizuri na tukio zima linahusishwa na uchovu.

Mungu amuongezee nguvu mzee wetu awe imara.Ni kati ya wazee wachache tuliowabakiza wenye hekima na busara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom