BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,989
- 32,649
Mungu atusaidie sana
Yesu alishamaliza kazi yake mkuu.JAMANI HUYU BABA
Yesu ana kazi sana
Video imejitosheleza wasee
Kabla huja jiuliza hilo swali ulipaswa kujiuliza hivi watanzania ni aina gani ya watu.? Unge pata hilo ingekuwa rahisi kwako kutoumiza kichwa kuuliza waumini wa kanisaNami nilimsikia sijui lini pale nilikuta ndio anamalizia alisema "habari ya mjini sasahivi ni acha maneno weka mziki...watashindanaaaa lakini hawatashinda...!!"
Waumini wakapiga makofi kwa shangwe na vigelegele
Halafu akilini mwangu likanijia swali "Waumini wa haya makanisa ni aina gani ya watu?"
Kaka acha utani kwa watumishi wa bwana. Kuna kondoo anawachunga huyu
Hao ni kondoo mwituKaka acha utani kwa watumishi wa bwana. Kuna kondoo anawachunga huyu
Nami nilimsikia sijui lini pale nilikuta ndio anamalizia alisema "habari ya mjini sasahivi ni acha maneno weka mziki...watashindanaaaa lakini hawatashinda...!!"
Waumini wakapiga makofi kwa shangwe na vigelegele
Halafu akilini mwangu likanijia swali "Waumini wa haya makanisa ni aina gani ya watu?"
Amina nduguAmina mtu wa MUNGU! hii inaitwa HEKIMA!
Walugaluga na watu wamikoani ndio mtaji wa hawa wapigadiliYani hata mim huwa najiuliza sana, waumini wake anawapata wapi?
Iishe? Kwa lusekelo? Hapana, tafuta jengine, lusekelo ni nani dunia hii?Hahahaa watu mko shapu mwenyewe niliisikia hii. Dunia imekwisha!