ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,774
Wanawake mumemsikia Pastor?
=====
Mchungaji Anthony Lusekelo almaarufu Mzee wa Upako anasema ni ngumu kukuta mwanaume hana mchepuko na kueleza kuwa kati ya wanaume 100, basi 90 wanayo michepuko.
Ameyasema hayo kupitia Kipindi cha Katikati ya Koko kinachorushwa na Global TV Online.
Video kamili ipo Youtube, Global TV Online.
=====
Mchungaji Anthony Lusekelo almaarufu Mzee wa Upako anasema ni ngumu kukuta mwanaume hana mchepuko na kueleza kuwa kati ya wanaume 100, basi 90 wanayo michepuko.
Ameyasema hayo kupitia Kipindi cha Katikati ya Koko kinachorushwa na Global TV Online.
Video kamili ipo Youtube, Global TV Online.