ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Wangekuwa maskini nani angepigia kura lile vazi lake la kitani safi,askari wote wa kirumi walilimezea mate mpaka ikawa vita ya kuamua kwa kuraNa kujitajirisha kwa biashara ya dini ni ufala plus. Yaani anamtukana hadi yesu na wanafunzi wake wake 12, kwani walikuwa matajiri walipoishi?