ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,305
Wangekuwa maskini nani angepigia kura lile vazi lake la kitani safi,askari wote wa kirumi walilimezea mate mpaka ikawa vita ya kuamua kwa kura[emoji122][emoji122][emoji122]Na kujitajirisha kwa biashara ya dini ni ufala plus. Yaani anamtukana hadi yesu na wanafunzi wake wake 12, kwani walikuwa matajiri walipoishi?