Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,492
- 283,895
Huyu naye hatabiriki kabisa ! Hivi wale aliosema watakufa baada ya miezi mitatu tayari wameondoka ?
Kuna watu wamefilisika kwa kwa kutoa sadaka mpaka sasa hawana uhakika wa Maisha! Hawa sijui tuwaitaje?
Muislam kuwa fukara n uchokoMkristo kuwa fukara ni uthenge
Na wewe usiweke nukta sehemu isiyostahili huo ni usengerema.
Malizia mkuu, Na mengine yote mtazidishiwa maana baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnayahitaji.Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na hakiyake