Hao watu wa gazeti la nyakati leo, nao ni wanafiki. Nadhani nao ni wanamtandao wa Lowassa. Inakuwaje wanakurupuka kuandika habari controversial kama hii? Wangekuwa na akili wangegundua kuwa lazima wasomaji wao watahiji juu ya huu msimamo wa askofu vs msimamo wake wa kumtetea na kumpaka mafuta Kikwete mwaka jana. Wangemuuliza hilo ili kubalance habari..
Hakuna kilichosalimika. Hata magazeti yanayotakiwa kuhubiri masuala ya kiimani nayo yameingia kwenye mnada uliowapelekea kupakatwa na mafisadi. Kama imewezekana kwa wakubwa zao, kishindikane nini kwenye vyombo vya habari wanavyoviendesha?