Pole mzee wa Upako na ndugu wa marehemu. Unajua ajali barabarani haina kinga na mtu yeyote anaweza kusababisha ajali. Na hawa waendesha pikipiki ni hatari sana, yaani hawafuati sheria kabisa, wanapenya hovyo hovyo kama panya. Huwa wananikera mno, sitaki hata wanisogelee kabisa. Na siku hizi waendesha baiskeli, wanataka kabisa kupita barabarani wakati wanatakiwa wapite kwa wenda kwa miguu. Sheria za trafic Tanzania hazifuatwi hasa na hawa wenzetu wa Pikipiki.
oooh nawapa pole ndugu wa marehemu, naamini ni tukio la bahati mbaya ukizingatia Lusekelo ni mtumishi wa MUNGU.
oooh nawapa pole ndugu wa marehemu, naamini ni tukio la bahati mbaya ukizingatia Lusekelo ni mtumishi wa MUNGU.
??????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!