Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...eeh!Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba Muhubiri Anthony Lusekelo(almaarufu kama MZEE WA UPAKO) amesababisha ajali na kumgonga mwendesha pikipiki mpaka kupelekea kifo chake.
Ajali hiyo imetokea ubungo kibangu.
Habari zaidi baadae
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba Muhubiri Anthony Lusekelo(almaarufu kama MZEE WA UPAKO) amesababisha ajali na kumgonga mwendesha pikipiki mpaka kupelekea kifo chake.
Ajali hiyo imetokea ubungo kibangu.
Habari zaidi baadae
mkuu ni ile ile ajali,mwendesha tukutuku amekata uzi!...Huyu nae juzi juzi hapa alipata ajali leo tena kwa nn anaendesha mwenyewe? Hivi hana dereva?
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba Muhubiri Anthony Lusekelo(almaarufu kama MZEE WA UPAKO) amesababisha ajali na kumgonga mwendesha pikipiki mpaka kupelekea kifo chake.
Ajali hiyo imetokea ubungo kibangu.
Habari zaidi baadae
mkuu ni ile ile ajali,mwendesha tukutuku amekata uzi!...
Pole mzee wa Upako na ndugu wa marehemu. Unajua ajali barabarani haina kinga na mtu yeyote anaweza kusababisha ajali. Na hawa waendesha pikipiki ni hatari sana, yaani hawafuati sheria kabisa, wanapenya hovyo hovyo kama panya. Huwa wananikera mno, sitaki hata wanisogelee kabisa. Na siku hizi waendesha baiskeli, wanataka kabisa kupita barabarani wakati wanatakiwa wapite kwa wenda kwa miguu. Sheria za trafic Tanzania hazifuatwi hasa na hawa wenzetu wa Pikipiki.
Kweli kabsaa! Ungeona hao waendesha tukutuku wanvyoendesha acha tu!! kisa wanawai mahesabu hawajali kabsaa sheria wana overtake popote pale!! Ukiwa unaendesha gari ndo utajua karaha ya tukutuku!!Hili swala la ajali haina kinga nafikiri limepitwa na wakati!!!
wamweke tu ndani, upako upako kitu gani!!
Alikimbia baada ya ajali je amepatikana? Kama amepatikana sheria ifuate mkondo wake pamoja na upako wakeooh jamani hiyo ni traffic issue wataangalia kama ana hatia na hatua za kisheria zitachukuliwa
hakuna anyemuombe mwenzio mabaya
Ilikuwaje na UPAKO wake asiweze kuavoid ile ajali?
ajali haona cha upako wala uvuvioIlikuwaje na UPAKO wake asiweze kuavoid ile ajali?