😋😋😋Anakula maisha tu kumbuka ana mpunga mrefu wa kustaafu u bunge so ana tuangalia tunavyo pambana
loh!!!Mzee wa dizasitaa menejimenti!!unajua kwa sasa ile nchi ya porto rico, bwana, akili zote ziko mikononi mwa bwana yule, sasa ukitoka hadharani na kutumia elimu yako kumpinga, jua , unatafuta shida!!kwa sasa bora umtukane MUNGU, hutaona hata kiongozi wa dini anakushambulia kuwa umefanya kosa!!ila mkosoe bwana yule, hutajua hata hao viongozi wametoka wapi, JAJI, mzima kutwa nzima amevaa mask, ila anapokwenda kuonana naye, anaficha mask mfukoni!!hahaaa, ila daaa, historia itabaki!!