Mzee wa kiraracha na cdm wanatofauti?

Mzee wa kiraracha na cdm wanatofauti?

Kadogoo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2007
Posts
2,073
Reaction score
345
Nakumbuka Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kipindi cha Mzee Ruksa alikuwa na tabia ya kutoa amri za siku 7 au 21! jee hizi amri za CHADEMA za kutoa siku 7, 9 au 21 zinaashiria nini? Jee zinatofauti yoyote na zile amri za Mrema?
 
hii post kama vile imechacha
i reserve ma comment on this stupid post. get lost
 
Back
Top Bottom