Mzee wa Dungu Jeshi katinga bongo na bodyguards

Mzee wa Dungu Jeshi katinga bongo na bodyguards

Anaokota mitakataka huko anakuja kuuzia wajinga huku!...
 
Huyu jamaa ana jiinua mno, ni vile ti umaskini wetu ni wa kupindukia ila zile bidhaa zakw asilimia 80 hazifai tena kwa matumizi ya binadamu ingawa kuna hata chache zenye heri ila I'm sure ni umaskini tu ndio inapelekea mamia kimiminika kwenye mnada wake.

Aliaanza kuudhi alipojiingiza kwenye siasa na majivuno kuwaita wasio amini anako amini yeye nyumbu!

Ye ajue tu wakati si wa milele hata ksma yupo hatua kadhaa mbele.
 
Hivi huyu lukosi si wa enzi zile jamii forum slikua ana pigo kama za lucas wa sasa?
Huyo huyo. Bavicha tulimvaa baada ya kufanya uchunguzi alipofika uingereza kutoka Botswana alipokuwa anaendesha malori alikuwa akilala sofani sebuleni kwa shemeji yake London.
 
Huyu jamaa ana jiinua mno, ni vile ti umaskini wetu ni wa kupindukia ila zile bidhaa zakw asilimia 80 hazifai tena kwa matumizi ya binadamu ingawa kuna hata chache zenye heri ila I'm sure ni umaskini tu ndio inapelekea mamia kimiminika kwenye mnada wake.

Aliaanza kuudhi alipojiingiza kwenye siasa na majivuno kuwaita wasio amini anako amini yeye nyumbu!

Ye ajue tu wakati si wa milele hata ksma yupo hatua kadhaa mbele.
Bora ununue bidhaa new feki za china
 
Mshkaji wako ametoka kuuza Vogue mpaka kuuza simu?
Tuemuelekezee kwa siredi ya wauza simu....

 
Mshkaji wako ametoka kuuza Vogue mpaka kuuza simu?
Tuemuelekezee kwa siredi ya wauza simu....

Mkuu Chris ni jirani yako kwa babu?
 
Kuna mdau humu aliwahi kushushiwa mzigo wa 30 million na huyo tapeli kwenda kufungua ndani zaidi ya nusu ya vitu vilikuwa havifai na ni vibovu beyond repair.. Kalia naye mnoo mwisho kaamua kusamehe kwa kinyongo
KC ni tapeli na anaowapata wengi ni wale wapenda vya chee
Asante kwa kutusanua.
 
Huyo huyo. Bavicha tulimvaa baada ya kufanya uchunguzi alipofika uingereza kutoka Botswana alipokuwa anaendesha malori alikuwa akilala sofani sebuleni kwa shemeji yake London.
Nakumbuka alishapikwaga sana humu
Ila sijamfatilia muda sna
 
Kama kuna mtu ana poor customer service zaidi ya huyu, basi spewe tuzo.
 
Mzee wa dungu jeshi shavu kilema mwenye ngebe, nyodo, madharau, majigambo na majivuno katinga bongo jana na mkwara mbuzi wa mabodyguard uchwarwa.

Kayngay huyo mwenye makazi yake uingereza na maarufu kwa kuuza bidhaa chakavu alitinga bongo na ethiopia airlines ambapo alisafiri pekee yake kwenye first class nakututambia kwenye mitandao ya kijamii.

Mbeleni hakuwa na mabodyguard lakini baada ya kukoswakoswa kutembelewa na kusalimiwa akaamua kuchukua tahadhari.

Wanoko wanadai mnada huu anaoenda kuufanya utafanyika kwa haraka sana ili amalize kabla ya tarehe 9 December.

View attachment 3501796

King Kong III

D9 Gen Z wataenda kumsalimia na hao mabodyguard wake watakpakwa mafuta.
 
Kesho kuna mnada pale KC sijui Bunju anauza vitu vya bei rahisi, mara ooh lapitopi 50,000 mpaka 100,000
JBL mziki mnene 50k
Simu bei 5k
AMbaye aliwahi kununua vitu kwake atupe mrejesho
Kuna jamaa zangu wanne walinunua tractor Massey Ferguson kwa jamaa kupitia mnada wa online akiwa London.

Ila tractor zilifika ni mbovu kuliko maelezo. Ni mmoja tu ndie aliebahatisha ila wengine wote waliingia hasara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom