Huyo huyo. Bavicha tulimvaa baada ya kufanya uchunguzi alipofika uingereza kutoka Botswana alipokuwa anaendesha malori alikuwa akilala sofani sebuleni kwa shemeji yake London.Hivi huyu lukosi si wa enzi zile jamii forum slikua ana pigo kama za lucas wa sasa?
Bora ununue bidhaa new feki za chinaHuyu jamaa ana jiinua mno, ni vile ti umaskini wetu ni wa kupindukia ila zile bidhaa zakw asilimia 80 hazifai tena kwa matumizi ya binadamu ingawa kuna hata chache zenye heri ila I'm sure ni umaskini tu ndio inapelekea mamia kimiminika kwenye mnada wake.
Aliaanza kuudhi alipojiingiza kwenye siasa na majivuno kuwaita wasio amini anako amini yeye nyumbu!
Ye ajue tu wakati si wa milele hata ksma yupo hatua kadhaa mbele.
Mkuu Chris ni jirani yako kwa babu?Mshkaji wako ametoka kuuza Vogue mpaka kuuza simu?
Tuemuelekezee kwa siredi ya wauza simu....
Pengine wewe unayesoma uzi huu unawaza ni lini utapata pesa ya kununua simu lakini kwa mtu mwingine hali ni tofauti kabisa ...!
Kivipi ,? ..... pesa Anayo lakini hajui ni simu gani nzuri atanunua kwa ajili ya shughuli zake . .... Je , Wewe upo kundi gani la kwanza au la pili ?
.........Jibu baki nalo , lakini leo tunazungumzia hasa kundi la pili .
Aina za simu zipo nyingi nzuri lakini leo twende kwanza na hizi brand 2 zinazo zungumzwa sana na zinazopendwa na vijana wengi ukiacha Apple.
Nitakutajia faida na hasara za kila simu hapa chini 👇
Twenzetu ...
Kabla hatujafika mbali !…...
- Barakha John
- bestphonesintanzania ipinzurisamsungaupixel ninunuesimugani pixelnasamsung simukaliused simunzuritanzania simuyenyekmerakali simuzagooglepixel simuzakisasatanzania simuzasamsung
- Replies: 37
- Forum: Tech, Gadgets & Science Forum
Mfalme Chalesi.....Mkuu Chris ni jirani yako kwa babu?
Asante kwa kutusanua.Kuna mdau humu aliwahi kushushiwa mzigo wa 30 million na huyo tapeli kwenda kufungua ndani zaidi ya nusu ya vitu vilikuwa havifai na ni vibovu beyond repair.. Kalia naye mnoo mwisho kaamua kusamehe kwa kinyongo
KC ni tapeli na anaowapata wengi ni wale wapenda vya chee
Nakumbuka alishapikwaga sana humuHuyo huyo. Bavicha tulimvaa baada ya kufanya uchunguzi alipofika uingereza kutoka Botswana alipokuwa anaendesha malori alikuwa akilala sofani sebuleni kwa shemeji yake London.
😳Huyu mjinga tangu alivyoiba rambirambi ya Marehemu Mwangosi ndiyo nilimdharau sana. Ila ashukuru ARV zimembeba sana alifikia hatua ya kuvaa pampas .
DUuh kumbe jamaa "KAWAKA" aka "KAUNGUA"?Huyu mjinga tangu alivyoiba rambirambi ya Marehemu Mwangosi ndiyo nilimdharau sana. Ila ashukuru ARV zimembeba sana alifikia hatua ya kuvaa pampas .
Mzee wa dungu jeshi shavu kilema mwenye ngebe, nyodo, madharau, majigambo na majivuno katinga bongo jana na mkwara mbuzi wa mabodyguard uchwarwa.
Kayngay huyo mwenye makazi yake uingereza na maarufu kwa kuuza bidhaa chakavu alitinga bongo na ethiopia airlines ambapo alisafiri pekee yake kwenye first class nakututambia kwenye mitandao ya kijamii.
Mbeleni hakuwa na mabodyguard lakini baada ya kukoswakoswa kutembelewa na kusalimiwa akaamua kuchukua tahadhari.
Wanoko wanadai mnada huu anaoenda kuufanya utafanyika kwa haraka sana ili amalize kabla ya tarehe 9 December.
View attachment 3501796
King Kong III
Huoni tezi ilivyovimbaDUuh kumbe jamaa "KAWAKA" aka "KAUNGUA"?
Yes ni moja ya dalili za "MDUDU" ila nilikuwa sijui kwamba Chris Lukosi ni 33KVA Grid ya Taifa.Huoni tezi ilivyovimba
Kuna jamaa zangu wanne walinunua tractor Massey Ferguson kwa jamaa kupitia mnada wa online akiwa London.Kesho kuna mnada pale KC sijui Bunju anauza vitu vya bei rahisi, mara ooh lapitopi 50,000 mpaka 100,000
JBL mziki mnene 50k
Simu bei 5k
AMbaye aliwahi kununua vitu kwake atupe mrejesho