Mzee wa Dungu Jeshi katinga bongo na bodyguards

Mzee wa Dungu Jeshi katinga bongo na bodyguards

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,308
Reaction score
4,209
Mzee wa dungu jeshi shavu kilema mwenye ngebe, nyodo, madharau, majigambo na majivuno katinga bongo jana na mkwara mbuzi wa mabodyguard uchwarwa.

Kayngay huyo mwenye makazi yake uingereza na maarufu kwa kuuza bidhaa chakavu alitinga bongo na ethiopia airlines ambapo alisafiri pekee yake kwenye first class nakututambia kwenye mitandao ya kijamii.

Mbeleni hakuwa na mabodyguard lakini baada ya kukoswakoswa kutembelewa na kusalimiwa akaamua kuchukua tahadhari.

Wanoko wanadai mnada huu anaoenda kuufanya utafanyika kwa haraka sana ili amalize kabla ya tarehe 9 December.



King Kong III
 
Huyu namfahamu sana, tumewahi kula pamoja ubwabwa na maharage wa bule mara nyingi sana pale London, maana kwa wenzetu ukiagiza ugali maharage unalipia au ukiagiza wali nyama unalipia pia, lakini ukiagiza ubweche maharagwe hulipii wanadai ni kwa sababu za kiafya, niligeuza bongo bahati mbaya tu sikuwa na mpango wa hovyo kama huo.
 
mwanetu huyu JF.
alikuwepo humu akifanya kazi ya upolisi iringa.
tulikua nae hapa kitambo tu,
ni dizaini ya lucas mwashambwa nadhani ni kurwa na doto hawa ingawa hawaelewi baba yao nani so mumzoee tu.
Huko uk yuko kijijini na makelele yake ya madungu jeshi ya mkopo wa mkewe hana lolote
labda auze hizo figo zake km alivyosema
 
Mzee wa dungu jeshi shavu kilema mwenye ngebe, nyodo, madharau, majigambo na majivuno katinga bongo jana na mkwara mbuzi wa mabodyguard uchwarwa.

Kayngay huyo mwenye makazi yake uingereza na maarufu kwa kuuza bidhaa chakavu alitinga bongo na ethiopia airlines ambapo alisafiri pekee yake kwenye first class nakututambia kwenye mitandao ya kijamii.

Mbeleni hakuwa na mabodyguard lakini baada ya kukoswakoswa kutembelewa na kusalimiwa akaamua kuchukua tahadhari.

Wanoko wanadai mnada huu anaoenda kuufanya utafanyika kwa haraka sana ili amalize kabla ya tarehe 9 December.

View attachment 3501796

King Kong III
Sikuwahi kujua kama huyu jamaa ni mpuuzi kiasi hiki
 
Kesho kuna mnada pale KC sijui Bunju anauza vitu vya bei rahisi, mara ooh lapitopi 50,000 mpaka 100,000
JBL mziki mnene 50k
Simu bei 5k
AMbaye aliwahi kununua vitu kwake atupe mrejesho
Kuna mdau humu aliwahi kushushiwa mzigo wa 30 million na huyo tapeli kwenda kufungua ndani zaidi ya nusu ya vitu vilikuwa havifai na ni vibovu beyond repair.. Kalia naye mnoo mwisho kaamua kusamehe kwa kinyongo
KC ni tapeli na anaowapata wengi ni wale wapenda vya chee
 
Itabidi twende Bunju mnadani kwa wingi ili tununue kila kutu kusha tuviwashe moto akalete takataka zingine.

Mi nitakuwa kwa bunju B na kwa Jeshi siky ya mnada karibuni tuongeze wingi ili shughuli yake ifane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom