Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 265
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi La polisi Mkoani Dar-es-Salaam Mzee Tryphon Maji amefariki Dunia.Ndg Maji amefariki Dunia leo jioni kwa saa za Tanzania,Marehemu alikuwa anasumbuliwa na Ugonjwa wa shinikizo la Damu,alifariki Dunia katika Hospitali ya Tumaini.Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa marehemu,Mbezi Beach.
Mwenyezi Mungu amlaze Marehemu mahali pema peponi
Mwenyezi Mungu amlaze Marehemu mahali pema peponi
Last edited by a moderator: