Pole sana wafiwa.
Nakumbuka Mtoto wake mmoja tulikuwa kombania moja naye pale JKT alifariki kwa kuungua kwa moto.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.Nakumbuka majonzi yaliyotupata wakati mtoto wake alipokufa moto JKT.Ni wakati enzi zile anaishi chole road.
rest in peace.