Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Aliyekuwa msanii wa kaole MZEE PWAGU amefariki dunia nusu saa iliyopita katika hospital ya Amana jijini Dar es salaam. Habari kamili mtaendelea kufahamiswa....! MUNGU amlaze mahari pema peponi....!
Utatufahamishaje na wewe umeomba akaunti yako na post zako zifutwe?
Mungu amlaze mahali pema peponi.
Wengine hatumjui, mwenye picha aweke tafadhali