Leo tbc katika kipindi maalumu cha saa moja unusu hadi mbili usiku imerushwa documentary moja ikiongelea utalii maendeleo na changamoto zake na baadhi ya viongozi wa mamlaka za wanyama pori wameeleza kazi ya kuwakamata majangili ni ngumu kwa sababu ya kuwepo mtandao unaohusisha watu wa ndani katika taasisi za wanyama pori . Mzee nwinyi amekiri kama mtu ameshindwa kazi anahitaji kuondolewa. Hii ni dalili njema ikiwa viongozi kama huyu mstaafu anapoikosoa serikali