RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,861
- 2,754
Mzee Mwanakijiji, Slaa, Mwakyembe, Sitta, Makamba et al kwa niaba ya MAFIA wa VATICAN/Economic Hit Men (EHM) wanajaribu kutuaminisha kuwa:-
1. Wanawake kujifungulia Sakafuni imesababishwa na Lowassa,
2. Watoto kusomea chini ya Miti imesababishwa na Lowassa,
3. Watumishi kulipwa mishahara ya Hadaa imesababishwa na Lowassa,
4. Twiga kupandishwa kwenye Ndege imesababishwa na Lowassa,
5. Wizi wa ESCROW imefanywa na Lowassa,
6. Ufisadi wa EPA umefanywa na Lowassa na siyo Mangula na Mkapa,
7. Ufisadi wa RICHMOND umefanywa na Lowassa hata baada ya kuambiwa Mhusika
8. Ujangili Uliokithiri unafanywa na Lowassa,
9. Mikataba Mobovu ya Dhahabu umefungwa naLowassa
10. Mikataba mibovu kwenye Tanzanite umefungwana Lowassa,
11. Mikataba mibovu kwenye Almasi umefungwa naLowassa,
12. Ubinafsishaji wa Bandari, ATC, Mashamba yaNAFCO, VIWANDA, NBC nk umefanywa na Lowassa,
13. Huduma duni za Afya imesababishwa naLowassa,
14. Huduma Mbovu za Elimu imesababishwa naLowassa,
15. Ukosefu wa Maji umesababishwa na Lowassa,
16. Ukosefu wa Umeme wa Uhakika umesababishwana Lowassa,
17. Gharama kubwa za Umeme Umesababishwa naLowassa,
18. Kupanda kwa Bei ya Mafuta ilhali inashuka kwenye soka la Dunia imesababishwa na Lowassa,
19. Gharama kubwa za vifurushi vya simu zamkononi imesababishwa na Lowasa,
20. Wawekezaji kutokulipa kodi imesababishwa nalowasa,
21. Rais kusaini cheque kwa dhehebu mojaimesababishwa na Lowassa,
22. Pengo et al kukataa Rasimu ya Katiba mpa imetokanana Shinikizo la lowassa,
23. Ubovu wa barabara unasababishwa na Lowassa,
24. Kugawana Nyumba za Serikali – Lowassa,
25. Mauaji ya Daudi Mwangosi yamesababishwa na lowassa na si kamuhanda et al
26. Mauaji ya Mvungi? Mgimwa,? Imran Kombe,Kolimba, Sokoine, JKN ?... LOWASSA!
27. Ukosefu wa Madawa mahospitalini – Lowassa
28. Gharama kubwa za elimu kwa watoto – lowassa
29. Nyumba za Tembe – Lowassa
30. Kufa kwa mazao ya Biashara; Kahawa, pamba,tumbaku, chai, katani – Lowassa,
31. Mkapa kujimilikisha mgodi wa Kiwira –Lowassa
32. Yusuf Makamba kutumia Bilioni 5 uchaguzi mdogo wa Tarime – Lowassa
33. Ufisadi wa Deep Green – Lowassa
34. Ufisadi wa Meremeta – Lowassa
35. Mabomu ya Arusha – Lowassa
36. Uvamizi wa vituo vya Police – Lowassa
37. Ununuzi wa Mv Dar es Salaam kifisadi –Lowassa
38. Mabehewa Fiki ya Treni – Lowassa
39. Ununuzi wa Ndege ya Rais – Lowassa
40. Mikataba 17 ya kichina – Lowassa
41. Kushamiri kwa biashara ya Sembe – Lowassa
42. Usafirishaji wa Meno ya Tembo – Lowassa ...
43. Deal la uagizaji wa Sukari, Mafuta ya mitambo ya IPTL/TANESCO..
– 1000 … list inaendelea … SISI MALOFAWAPUMBAVU TUNA SEMA: TUTAMCHUGUA LOWASSA
1. Wanawake kujifungulia Sakafuni imesababishwa na Lowassa,
2. Watoto kusomea chini ya Miti imesababishwa na Lowassa,
3. Watumishi kulipwa mishahara ya Hadaa imesababishwa na Lowassa,
4. Twiga kupandishwa kwenye Ndege imesababishwa na Lowassa,
5. Wizi wa ESCROW imefanywa na Lowassa,
6. Ufisadi wa EPA umefanywa na Lowassa na siyo Mangula na Mkapa,
7. Ufisadi wa RICHMOND umefanywa na Lowassa hata baada ya kuambiwa Mhusika
8. Ujangili Uliokithiri unafanywa na Lowassa,
9. Mikataba Mobovu ya Dhahabu umefungwa naLowassa
10. Mikataba mibovu kwenye Tanzanite umefungwana Lowassa,
11. Mikataba mibovu kwenye Almasi umefungwa naLowassa,
12. Ubinafsishaji wa Bandari, ATC, Mashamba yaNAFCO, VIWANDA, NBC nk umefanywa na Lowassa,
13. Huduma duni za Afya imesababishwa naLowassa,
14. Huduma Mbovu za Elimu imesababishwa naLowassa,
15. Ukosefu wa Maji umesababishwa na Lowassa,
16. Ukosefu wa Umeme wa Uhakika umesababishwana Lowassa,
17. Gharama kubwa za Umeme Umesababishwa naLowassa,
18. Kupanda kwa Bei ya Mafuta ilhali inashuka kwenye soka la Dunia imesababishwa na Lowassa,
19. Gharama kubwa za vifurushi vya simu zamkononi imesababishwa na Lowasa,
20. Wawekezaji kutokulipa kodi imesababishwa nalowasa,
21. Rais kusaini cheque kwa dhehebu mojaimesababishwa na Lowassa,
22. Pengo et al kukataa Rasimu ya Katiba mpa imetokanana Shinikizo la lowassa,
23. Ubovu wa barabara unasababishwa na Lowassa,
24. Kugawana Nyumba za Serikali – Lowassa,
25. Mauaji ya Daudi Mwangosi yamesababishwa na lowassa na si kamuhanda et al
26. Mauaji ya Mvungi? Mgimwa,? Imran Kombe,Kolimba, Sokoine, JKN ?... LOWASSA!
27. Ukosefu wa Madawa mahospitalini – Lowassa
28. Gharama kubwa za elimu kwa watoto – lowassa
29. Nyumba za Tembe – Lowassa
30. Kufa kwa mazao ya Biashara; Kahawa, pamba,tumbaku, chai, katani – Lowassa,
31. Mkapa kujimilikisha mgodi wa Kiwira –Lowassa
32. Yusuf Makamba kutumia Bilioni 5 uchaguzi mdogo wa Tarime – Lowassa
33. Ufisadi wa Deep Green – Lowassa
34. Ufisadi wa Meremeta – Lowassa
35. Mabomu ya Arusha – Lowassa
36. Uvamizi wa vituo vya Police – Lowassa
37. Ununuzi wa Mv Dar es Salaam kifisadi –Lowassa
38. Mabehewa Fiki ya Treni – Lowassa
39. Ununuzi wa Ndege ya Rais – Lowassa
40. Mikataba 17 ya kichina – Lowassa
41. Kushamiri kwa biashara ya Sembe – Lowassa
42. Usafirishaji wa Meno ya Tembo – Lowassa ...
43. Deal la uagizaji wa Sukari, Mafuta ya mitambo ya IPTL/TANESCO..
– 1000 … list inaendelea … SISI MALOFAWAPUMBAVU TUNA SEMA: TUTAMCHUGUA LOWASSA