Katika televisheni ya taifa TBC1 kulikuwa na mahojiano na gavana wa kwanza wa Benki kuu ya Tanzania mzee Mtei. Moja ya swali aliloulizwa ni changamoto alizokumbana nazo wakati yu gavana. Katika kujibu akasema ni kukataa wazo la waziri mwenye dhamana ya fedha kwa wakati huo juu ya mkandarasi gani ajenge jengo la Benki kuu. Naomba kufahamishwa waziri wa fedha kwa wakati huo alikuwa nani?
Note: Benki kuu ilianzishwa January 1966
Note: Benki kuu ilianzishwa January 1966