JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Huyu jamaa alichoandika kwanza mkuchika ana rank ya captain na sio luteni, pili kuwa waziri wa utumishi na utawala Bora haina maana ww ndo mkuu wa idara ya usalama, mkuu wa idara ya usalama ni DG wa usalama na ndie mtendaji mkuu wa idara na anaripoti direct kwa raisi...unaposema mkuchika anatunza document za Siri za nchi una maana gani? Mbona mnaongea vitu vya kitoto
..Mkuchika angekuwa ni askari mzuri angebakishwa jeshini.
..wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na askari professionals na askari makamisaa wa siasa.
..nalazimika kusema kwamba Mkuchika ni mwanasiasa mzuri, lakini siyo askari mzuri.