Mzee Mkuchika tangu kipindi cha Nyerere yupo Serikalini mpaka sasa. Ana nini cha ajabu?

Nchi bila umoja wa kitaifa na amani haiwezi kuendelea hiyo ndio injini iliyobomoa ukabila Tanzania na kuulilia mbali uchifu Tanzania na kushauri Lugha ya Taifa iwe kiswahili na kupiga marufuku matumizi ya lugha za kienyeji kwenye vyombo vya habari na maofisini na mikutano ya kampeni za kisiasa.

Huu umoja wa kitaifa unaouona hiyo ndio injini behind the scene ya Nyerere.

Jeshi kusukwa likadukika injini ni huyo mzee.
Unakubali kwamba kipindi Cha mwendazake ukabila ulikuwa unarudi kwa kasi ya ajabu?
Ushabiki tuweke pembeni
 
Huyo ni mkufunzi alietukuka.weng wamepita mikonon mwake...dstv pale ndo ma injinia wenyew hao waanzisha idara
 
Ni muasisi wa Taifa la Tanzania.

Unavyoiona hii Tanzania ilivyo huyo mzee ndie aliisuka akampelekea mapendekezo Nyerere nchi iweje.

Ni mzee low profile but very powerfuk behind the scene huyo ndie alikuwa engine ya Nyerere hapendi camera za waandishi wa habari wala front page za magazeti huwa ni mtendaji mkali wa uhakika behind the scene ndio maana Maraisi wote hakuna aliyekubali kumuacha
umenikumbusha riwaya za kijasusi za Japhet Nyangoro Sudi kuna mzee anamtumia kwenye kila riwaya yake amempachika jina la MTAALAMU WA UFUNDI huwa haonekani na kupatikana ila akikuitaji kukutuma ataibuka tu from no way na atapotea kabla hujamjua.
 
Mkuu wangu captain sio cheo ni madaraka na mtu ili uwe captain lazima uwe umeongoza vikosi.
Kuongoza vikosi kuna rank yake
Vikosi 250 kuna cheo chake
Vikosi 500 kuna cheo chake
So captain Mkuchika aliongoza vikosi akiwa na cheo cha Lieutenant.
ni kama katibu mkuu kiongozi lazima uitwe Balozi ndo uwe katibu mkuu kiongozi .

..hivi umepita JKT au JWTZ?

..Luteni huwa anaongoza platuni.

..Kepten anaongoza kombania.

..Meja au Luteni Kanali anaongoza kikosi.

..pia sio kweli kwamba Katibu Mkuu kiongozi lazima awe Balozi.

..Dunstan Omari, Joseph Namata, Dickson Nkembo, Timothy Apiyo, walikuwa Makatibu Wakuu viongozi lakini hawakupata kuitwa wala kupewa title ya ubalozi.

cc Course Coordinator
 
Ni muasisi wa Taifa la Tanzania.

Unavyoiona hii Tanzania ilivyo huyo mzee ndie aliisuka akampelekea mapendekezo Nyerere nchi iweje.

Ni mzee low profile but very powerfuk behind the scene huyo ndie alikuwa engine ya Nyerere hapendi camera za waandishi wa habari wala front page za magazeti huwa ni mtendaji mkali wa uhakika behind the scene ndio maana Maraisi wote hakuna aliyekubali kumuacha
Wameona apewe wazara Ya kazi maalum
Hapo ndio tuelewe umuhimu wake..
Yaani WAZARA YA KAZI MAALUM(code hii).... Haina katibu mkuu wala naibu waziri... Yaani Mzee anaimudu yeye peke yake.. Kudadaadadadeki......
 
Nchi bila umoja wa kitaifa na amani haiwezi kuendelea hiyo ndio injini iliyobomoa ukabila Tanzania na kuulilia mbali uchifu Tanzania na kushauri Lugha ya Taifa iwe kiswahili na kupiga marufuku matumizi ya lugha za kienyeji kwenye vyombo vya habari na maofisini na mikutano ya kampeni za kisiasa.

Huu umoja wa kitaifa unaouona hiyo ndio injini behind the scene ya Nyerere.

Jeshi kusukwa likadukika injini ni huyo mzee.
Naona Una Sugar coat Sana Baba yako au ni Mjomba? Yaani anaweza kuwa na Busara kuliko Msekwa, Warioba, Getruda, Mama Ana Abdullah, Mzee Lubuva, na wengineo ???
 
Niwale watu hupendwa na wengi,hushauri wengi,msiri wawengi,kwenye ugumu anatoa presha,anapoint kwenye issues utataka msikia wazolake,hana makuu,anaheshimu hatawadogo,mpenda haki,hatamani makuubwa,hakurupuki hakosei hovyo nimewahi fanyakazi nae mahali kwamuda hata ukikosea hakubembelezi ila atakusahihisha kwa staha...Nikama kingunge hivi ukiskia MTU wawatu!!
 
Huyu mzee mi namfahamu in personal kuanzia kwao masasi.alivyokuwa rc tanga na ndugu zake wa tabata.ni mpole ila mshirikina hatari kwao.anaroga huyo
 
Huyu mzee mi namfahamu in personal kuanzia kwao masasi.alivyokuwa rc tanga na ndugu zake wa tabata.ni mpole ila mshirikina hatari kwao.anaroga huyo
Hivi ukiwa sio mchawi unaweza tu kumfahamu mchawi?
 
..hivi umepita JKT au JWTZ?

..Luteni huwa anaongoza platuni.

..Kepten anaongoza kombania.

..Meja au Luteni Kanali anaongoza kikosi.

..pia sio kweli kwamba Katibu Mkuu kiongozi lazima awe Balozi.

..Dunstan Omari, Joseph Namata, Dickson Nkembo, Timothy Apiyo, walikuwa Makatibu Wakuu viongozi lakini hawakupata kuitwa wala kupewa title ya ubalozi.

cc Course Coordinator
Baada ya marekebisho ya sheria katibu mkuu kiongozi lazima apewe hadhi ya ubalozi .
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom