Mzee mfugale na peacock hotel

Mzee mfugale na peacock hotel

mapaja

Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
16
Reaction score
3
jamani wadau huyu mzee mfugale ni mkandamizaji vibaya kuna wafanya kazi wamefanya wamefanya kazi peacock hotel zaidi ya miaka kumi lkn juzi gafla kaja na mikatba mipya et wafanyakazi wote wa saini contract kwamba wapo kwenye probation period,staff wengi waligoma kusaini basi akasema ambae hata saini kazi basi,vijna wengi wameacha kazi na hawajui cha kufanya,heu wadau tujaribu kuangalia nini cha kufanya coz wengine wapo mtaani kwangu
 
mtamfanyaje wakati ni ndugu na previous chief of staff
 
Huyu si mhehe huyu, sasa naanza kuwaogopa wahehe
 
jamani wadau huyu mzee mfugale ni mkandamizaji vibaya kuna wafanya kazi wamefanya wamefanya kazi peacock hotel zaidi ya miaka kumi lkn juzi gafla kaja na mikatba mipya et wafanyakazi wote wa saini contract kwamba wapo kwenye probation period,staff wengi waligoma kusaini basi akasema ambae hata saini kazi basi,vijna wengi wameacha kazi na hawajui cha kufanya,heu wadau tujaribu kuangalia nini cha kufanya coz wengine wapo mtaani kwangu

Pia alikuwepo Mfanyabiashara naye akamuuliza Yesu akisema Mwalimu nifanyeje ili niweze rithi uzima wa milele, Yesu akamwambia "unazijua amri, Usiibe, Usizini, Waheshimu Baba yako na Mama yako upate heri duniani" Yule Mfanyabiashara akasema ndiyo nazijua na nimezishika tangu utoto wangu. YESU akamwambia "Nenda ukauze kila kitu na fedha uwagawie masikini kisha jikane nafsi yako beba msalaba wako UNIFUATE" Yule Mfanyabiashara akanyong'onyea akaondoka. Yesu aksema "Ni rahisi kwa NGAMIA KUPENYA KATIKA TUNDU LA SINDANO kuliko TAJIRI KUINGIA UFALME WA MUNGU.
 
Sasa waliachaje kazi huku wakiwa hajajipanga na kujua watafanya niji baada ya kuacha kazi?
 
Kama wangekuwa na chama cha wafanyakazi hapo kazin kwao issue hiyo isinge fikia hapo! Watanzania inabidi tubadilike kidogo, pamoja na mapungufu yake vyama vya wafanyakazi ni muhimu sana kwenye hivi vibarua vyetu!
 
jamani wadau huyu mzee mfugale ni mkandamizaji vibaya kuna wafanya kazi wamefanya wamefanya kazi peacock hotel zaidi ya miaka kumi lkn juzi gafla kaja na mikatba mipya et wafanyakazi wote wa saini contract kwamba wapo kwenye probation period,staff wengi waligoma kusaini basi akasema ambae hata saini kazi basi,vijna wengi wameacha kazi na hawajui cha kufanya,heu wadau tujaribu kuangalia nini cha kufanya coz wengine wapo mtaani kwangu
Kazi zilvyo ngumu tumikia kafiri upate mradi wako.
Siku nyingine waambie hao jamaa waanzishe hoteli zao, hata kama ni mama ntilie ili wajue changamoto zilizopo.
 
jamani wadau huyu mzee mfugale ni mkandamizaji vibaya kuna wafanya kazi wamefanya wamefanya kazi peacock hotel zaidi ya miaka kumi lkn juzi gafla kaja na mikatba mipya et wafanyakazi wote wa saini contract kwamba wapo kwenye probation period,staff wengi waligoma kusaini basi akasema ambae hata saini kazi basi,vijna wengi wameacha kazi na hawajui cha kufanya,heu wadau tujaribu kuangalia nini cha kufanya coz wengine wapo mtaani kwangu
Tatizo lake Hana shule hata darasa moja, jina lake hajui kuandika. Alimpeleka mtoto wake shule ili aendeshe biashara zake, lakini hamsikilizi hata chembe, mzee anajifanya anajua na ni mbishi asiye mfano
 
Waambie wakaripoti labour office. Tena pale wanaenda kwa mguu tu kabla hawajaripoti kazini.
Ila mbona mzee alishastep down, ama Deo anaenda vikao vya kiingereza tu?
 
Hilo tatizo liliwahi kunikuta new africa hotel...wale waajiri walikuwa wanamtumia hr mzee lotuno kwa manufaa yao...nilifanya mda mrefu wakanidhurumu pesa zangu wakasema mimi ni trainee!!!!!trainee gani wa miaka 2 nikaenda chama cha wafanyakazi wa hotels chodawu chama chenyewe hata nguvu hakina nikaenda pale labour waajiri wangu wakaitwa nikaonekana niko right lakini sikupata haki yangu namshukuru mungu baada ya wale wahindi wa new africa kuniachisha kazi nikapata kazi dubai
 
Waambie waanze kupiga debe Ubungo kwa muda kazi haina mtaji wataachaje kazi wkt hawana uhakika wa kupata kazi!
 
Jamaa hajasoma ndio maana anaendekeza sana upoyoyo. Hata yale maghorofa amejenga kwa uzoefu inaaminika hivyo. Mkipanda ngazi pandeni kwa uangalifu mtateleza
 
Tatizo lake Hana shule hata darasa moja, jina lake hajui kuandika. Alimpeleka mtoto wake shule ili aendeshe biashara zake, lakini hamsikilizi hata chembe, mzee anajifanya anajua na ni mbishi asiye mfano

Mtoto gani huyo unamzunguzia?
 
Back
Top Bottom